Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Habari waungwana, Nashukuru Mungu nimeuona mwaka mpya, heri na kwenu pia wana JF. Niwaeleze tu jinsi mwaka mpya ulivyonikuta.. Kilaji cha nguvu, nilikuwa bwiii mpaka kubebwa kuletwa home, jambo ambalo si la kawaida hapo awali, je ndo nitakuwa wa bwiii mwaka wote wa 2012!!.... Wewe mwenzangu wa JF ulikukukutaje huu mwaka mpya?!