Nilivyomkamata/nilivyompata mke wa pedeshee

Ngosha Mashine

JF-Expert Member
Sep 21, 2017
625
1,251
Baada ya kupata uhamisho ofisini wa kuja Dar nikitokea Mwanza, nilipanga karibu na bosi mmoja wa kampuni fulani mahali fulani hapa Dar (sipataji nikiogopa kujulikana)

bosi huyo alikuwa akigombana mara kwa mara na mke wake, akimtuhumu kuchepuka, nilikuwa nikishuhudia mke akimzingua bosi huyo karibu kila siku

walikuwa wakija mademu wazuri nyumban kwa bosi huyo, et kuja kufanya mambo yao ya kampuni

sasa kuna siku alikuja mtoto fulan mzuri hatari, na kumbe mke alikuwa akimshakia kuwa ndo anachepuka na mmewe alikaa pale mda fulan kisha akatoka

ile anatoka mke nae akatoka, nikamuona mke wa bosi yule akitizama chini kama kadondosha kitu baadae kidogo nikamuona akizoa mchanga alipokanyaga yule binti kisha akatoa kitambaa cheusi akauweka huo mchanga kwenye hicho kitambaa kisha akarudi ndani

nilikuwa nikimtaman sana mke wa bosi yule, nikajiapiza lazima nimpate nikijifanya mganga kuwa nimeona kwenye maono anataka kumloga mchepuko ya mme wake

ITAENDELEA,,,,,,,,,,,,,
 
TUENDELEE,,,,
Basi kesho yake asubuhi nikiwa na kigari changu nikielekea kazini mara nae huyu hapa (mke wa bosi yule) akanipa hai nikatupia utani pale kisha nikamwambia nina ujumbe wake nitamtafuta nikitoka kazini akaitikia kisha tukaachana

cha ajabu jion yake akaja nyumban kwangu kabisa akinitaka nimpe ujembe wake, nikamkaribisa kwa juisi japo hakuinywa

ndo nikaanza kumpa fix za kutosha pale nikamsimulia kuwa nimemuota akihangaika na mchepuko ya mme wake, nikamkazia kuwa kwenye ndoto nimemuona pia akizoa mchanga alipokanyaga yule binti aligoma kuwa namuongopea, akawa ameondoka

zilipita siku kadhaa nikakutana nae akawa hanichangamkii, dah! nikasema si nimeharibu hapa, nikaanza kufikiria kuhama pale

baadae kidogo nikiwa nimesha pata nyumba sehem fulani sasa kuna siku nikiwa natoka kazin akaja tena mwenyewe nyumban mda huu akiwa kama kanyeshewa mvua

ITAENDELEA,,,,,,,,
 
Baada ya kupata uhamisho ofisini wa kuja Dar nikitokea Mwanza, nilipanga karibu na bosi mmoja wa kampuni fulani mahali fulani hapa Dar (sipataji nikiogopa kujulikana)

bosi huyo alikuwa akigombana mara kwa mara na mke wake, akimtuhumu kuchepuka, nilikuwa nikishuhudia mke akimzingua bosi huyo karibu kila siku

walikuwa wakija mademu wazuri nyumban kwa bosi huyo, et kuja kufanya mambo yao ya kampuni

sasa kuna siku alikuja mtoto fulan mzuri hatari, na kumbe mke alikuwa akimshakia kuwa ndo anachepuka na mmewe alikaa pale mda fulan kisha akatoka

ile anatoka mke nae akatoka, nikamuona mke wa bosi yule akitizama chini kama kadondosha kitu baadae kidogo nikamuona akizoa mchanga alipokanyaga yule binti kisha akatoa kitambaa cheusi akauweka huo mchanga kwenye hicho kitambaa kisha akarudi ndani

nilikuwa nikimtaman sana mke wa bosi yule, nikajiapiza lazima nimpate nikijifanya mganga kuwa nimeona kwenye maono anataka kumloga mchepuko ya mme wake

ITAENDELEA,,,,,,,,,,,,,

Kuliwa hakuko mbali
 
Story za jf unaweza tngnz series ya mapenzi ukizikusanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom