Nilivyokunywa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi ya mwanamke

Nilivyokunywa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi ya mwanamke

moto wa maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
4,174
Reaction score
3,005
Habari ya leo wakuu...? Sijawahi fikiri na kuwaza kama ntakuja kuangukia kwenye penzi lililopelekea kupewa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi kwakupitia mdomo wa mwanamke.

Nilikua naishi mwenyewe kwa mda mrefu bila mahusiano yoyote yale yani nilikua nanunua wanawake ili kukidhi haja zangu lakini miaka ilivyozidi kwenda nikaona inabidi nitafute mwanamke mmoja wa kuingia nae kwenye mahusiano ya uhakika.

Maana niliwaza Kutembea na wanawake wengi sio sifa nzuri kiafya, kiroho na kiuchumi pia, kwani kiafya unaweza pata magonjwa kirahisi sana lakini pia huna amani na afya zao sababu hujawapima na ukabaki unajutia uliyoyaendekeza,pia kiroho nikaona naweza pata maroho machafu machafu na nyota yangu kuzima kabisa lakini nikawaza kuhusu pesa pia nikaona natumia pesa nyingi sana kwa hawa malaya wakati uchumi wangu bado mdogo sana.

Nikaona ni vyema nitafute mwanamke mmoja wakuwa nae kwenye mahusiano ya kweli basi katika harakati zangu nikakutana na mwanamke mmoja mzuri wa kipare tukaanza kufahamiana kwa muda mrefu basi nikatupa nyavu akaingia.

Tukaanza mapenzi sasa kuna siku nikaona niombe mzigo tukakubaliana tutaenda lodge moja sehemu weekend lakini siku hiyo ilipofika akabidilisha venue akaniambia njoo kwangu mi naishi mwenyewe basi nikaona poa ngoja niende bila kujua lengo baya alilopanga.

Ile kufika kwake mabusu mazito yakaanza hatimae uwanjani, nakumbuka alikua anapenda sana denda ,basi mechi ikaisha kesho yake niko geto nikaanza kupata kizunguzungu kikali na kichwa kinauma mno nikaishiwa nguvu nikalala kwenye sakafu ila nguvu za kupiga simu zilikuwepo nikampigia mdogo angu simu akaja ili anipeleke hospitali nikaone tatizo na kutibiwa lakini nikaskia dogo anasema subiri mara ghafla akapandisha maruhani na sijawahi kuona mdogo wangu kapandisha.

Sasa akaanza kuguna kwa sauti baadae akaanza kuongea wewe jana umeenda sehemu mbaya sana umekunywa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi kwakupitia mdomo wa mwanamke,akaongeza akasema ulikoenda jana yule mwanamke alihairisha kwenda sehemu na wewe mliyopanga na akaona bora muende kwake ili afanye shughuli yake aliyoidhamilia.

Kabla ya wewe kwenda alichukua chupi aliyokua ameivaa mchana kutwa akaiweka kwenye bakuli lenye maji kisha akajitoboa kidole kwa sindano ya kushonea nguo akaweka damu tone moja akanuia maneno machafu ndipo akakujulisha uende kwake na ulipofika wakati unagonga kwake akaweka mdomoni yale maji ndio maana ulivyoingia tu akaanza na mabusu mengi na denda na hapo ndipo ulipokunywa maji yalitoka kwenye chupi na lengo lake ni wewe akushike kila sehemu na akawa amekuweka kwenye orodha yake ya kuwa msukule wake ambae atakua anafanya mapenzi ma wewe kwani pale kwake pia ana misukule wanaume wengi wao anafanya nao mapenzi tu.

Wewe mizimu yako ndio imekusaidia sasa chakufanya itabidi uvumilie hayo maumivu halafu nenda kalale ukiamka nenda katafute Udi unaitwa Sai-flora nikapewa maelekezo ya kufanya basi dogo akarudi katika hali yake ile ya kawaida mi nikaenda kulala baadae dogo akaja kuniamsha kuwa msosi tayari nikapiga nikaenda kufanya kama alivyonielekeza usiku saa tatu napokea meseji ya malalamiko kutoka kwa yule mwanamke anasema umeshawahi kwenda kwa mganga nikamjibu hapana akasema ameniota nimeenda kwa mganga ,sikujibu tena meseji zake wala call nikamblock hadi sasa.

Wakuu tujitahidi kuwa makini na mienendo yetu muda wowote unawekwa kati na kama huna ulinzi umeisha!

Mwanaume usiende kwa mwanamke ni sehemu rahisi ya kukutegea chochote usipoelewa utateseka ukiwa mwenyewe!​
 
Habari ya leo wakuu...? Sijawahi fikiri na kuwaza kama ntakuja kuangukia kwenye penzi lililopelekea kupewa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi kwakupitia mdomo wa mwanamke.

Nilikua naishi mwenyewe kwa mda mrefu bila mahusiano yoyote yale yani nilikua nanunua wanawake ili kukidhi haja zangu lakini miaka ilivyozidi kwenda nikaona inabidi nitafute mwanamke mmoja wa kuingia nae kwenye mahusiano ya uhakika.

Maana niliwaza Kutembea na wanawake wengi sio sifa nzuri kiafya, kiroho na kiuchumi pia, kwani kiafya unaweza pata magonjwa kirahisi sana lakini pia huna amani na afya zao sababu hujawapima na ukabaki unajutia uliyoyaendekeza,pia kiroho nikaona naweza pata maroho machafu machafu na nyota yangu kuzima kabisa lakini nikawaza kuhusu pesa pia nikaona natumia pesa nyingi sana kwa hawa malaya wakati uchumi wangu bado mdogo sana.

Nikaona ni vyema nitafute mwanamke mmoja wakuwa nae kwenye mahusiano ya kweli basi katika harakati zangu nikakutana na mwanamke mmoja mzuri wa kipare tukaanza kufahamiana kwa muda mrefu basi nikatupa nyavu akaingia.

Tukaanza mapenzi sasa kuna siku nikaona niombe mzigo tukakubaliana tutaenda lodge moja sehemu weekend lakini siku hiyo ilipofika akabidilisha venue akaniambia njoo kwangu mi naishi mwenyewe basi nikaona poa ngoja niende bila kujua lengo baya alilopanga.

Ile kufika kwake mabusu mazito yakaanza hatimae uwanjani, nakumbuka alikua anapenda sana denda ,basi mechi ikaisha kesho yake niko geto nikaanza kupata kizunguzungu kikali na kichwa kinauma mno nikaishiwa nguvu nikalala kwenye sakafu ila nguvu za kupiga simu zilikuwepo nikampigia mdogo angu simu akaja ili anipeleke hospitali nikaone tatizo na kutibiwa lakini nikaskia dogo anasema subiri mara ghafla akapandisha maruhani na sijawahi kuona mdogo wangu kapandisha.

Sasa akaanza kuguna kwa sauti baadae akaanza kuongea wewe jana umeenda sehemu mbaya sana umekunywa maji yaliyokamuliwa kutoka kwenye chupi kwakupitia mdomo wa mwanamke,akaongeza akasema ulikoenda jana yule mwanamke alihairisha kwenda sehemu na wewe mliyopanga na akaona bora muende kwake ili afanye shughuli yake aliyoidhamilia.

Kabla ya wewe kwenda alichukua chupi aliyokua ameivaa mchana kutwa akaiweka kwenye bakuli lenye maji kisha akajitoboa kidole kwa sindano ya kushonea nguo akaweka damu tone moja akanuia maneno machafu ndipo akakujulisha uende kwake na ulipofika wakati unagonga kwake akaweka mdomoni yale maji ndio maana ulivyoingia tu akaanza na mabusu mengi na denda na hapo ndipo ulipokunywa maji yalitoka kwenye chupi na lengo lake ni wewe akushike kila sehemu na akawa amekuweka kwenye orodha yake ya kuwa msukule wake ambae atakua anafanya mapenzi ma wewe kwani pale kwake pia ana misukule wanaume wengi wao anafanya nao mapenzi tu.

Wewe mizimu yako ndio imekusaidia sasa chakufanya itabidi uvumilie hayo maumivu halafu nenda kalale ukiamka nenda katafute Udi unaitwa Sai-flora nikapewa maelekezo ya kufanya basi dogo akarudi katika hali yake ile ya kawaida mi nikaenda kulala baadae dogo akaja kuniamsha kuwa msosi tayari nikapiga nikaenda kufanya kama alivyonielekeza usiku saa tatu napokea meseji ya malalamiko kutoka kwa yule mwanamke anasema umeshawahi kwenda kwa mganga nikamjibu hapana akasema ameniota nimeenda kwa mganga ,sikujibu tena meseji zake wala call nikamblock hadi sasa.

Wakuu tujitahidi kuwa makini na mienendo yetu muda wowote unawekwa kati na kama huna ulinzi umeisha!

Mwanaume usiende kwa mwanamke ni sehemu rahisi ya kukutegea chochote usipoelewa utateseka ukiwa mwenyewe!​
Mimi Nisha lala sana kwao na mabinti wawili na ni fresh TU issue kwa kwa baadhii
 
Muda utaongea mkuu
Nazungumzia past tense nyie mlienda kwa Malaya.

Sisi wengine hata kwa muonekano na familia tulizo tokea kwa HAO mabinti mama zao baba zao ni relationship ambazo Zina baraka za wazazi...

Mimi kwa muonekano wangu ni reputable..na aminika na hayakua madanga ya mjini.. nazungumzia past tense

Now ni baba wa watoto wa tatu mmoja yupo standard five..nimesha staafu uzinzii..sina mademu.. nimefanya sana hakuna jipya...

Sisi wenzako nikimwangalia mwanamke kwa sababu ya sample space nyingi mwenye matako makubwa, mweusi, mweupe, mwembamba, mfupi, mrefu, wa Kila aina hakuna jipya..mpaka Kuna staili za sex tumevumbua

All in all, nimeshaga tundika daluga nipo na wife na familia am out.
 
Toto la kisambaa full mwarabu,sijui hata ikawaje nikajikuta Tanga bara bara ya 9,mara tukaenda michungwani kule ukipinda uko kwa kigoda
Da nikapiga msasa pale siku 3 ka zombie.
Tunarudi ndio nashtuka tulikua kwenye bus raha leo.
Dah nakurupuka, tuko njiani kurudi dar demu anasema nilikuja kukuleta uoshe nyota.
Aisee nilikasirika, lakini nawaza kukachapa mikofi naona ntauwa hapa.
Kalaini, kapole hakana chochote zaidi ya huo uganga.
Nilikaa na huyo binti muda sana na alinipa support dola kadhaa kabla kutimkia south that time
 
Nazungumzia past tense nyie mlienda kwa Malaya.

Sisi wengine hata kwa muonekano na familia tulizo tokea kwa HAO mabinti mama zao baba zao ni relationship ambazo Zina baraka za wazazi...

Mimi kwa muonekano wangu ni reputable..na aminika na hayakua madanga ya mjini.. nazungumzia past tense

Now ni baba wa watoto wa tatu mmoja yupo standard five..nimesha staafu uzinzii..sina mademu.. nimefanya sana hakuna jipya...

Sisi wenzako nikimwangalia mwanamke kwa sababu ya sample space nyingi mwenye matako makubwa, mweusi, mweupe, mwembamba, mfupi, mrefu, wa Kila aina hakuna jipya..mpaka Kuna staili za sex tumevumbua

All in all, nimeshaga tundika daluga nipo na wife na familia am out.
Hata mimi ni hiyo ni muda mkuu nilishaweka jezi pembeni
 
Back
Top Bottom