Dadii
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 748
- 1,149
Iko mkoa gani na wilaya gani hkk NYAMISHEGANa kwenyewe kule mkuu ungeenda ungetengeneza fedha nimetokako karibuni watu wenye migahawa ikifika saa 3 usiku huwezi kupata chakula na Ni mgodi mkubwa Sana !! Watu Ni nyomi utasema lowasaa kaitisha mkutano wa kuomba kura