macjay
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 371
- 408
Nimefanya malipo ya bili baada ya kutumia huduma katika idara moja ya serikali kwa kutumia control number kwa njia ya simu.
Nilitakiwa kulipa tsh 20,000/= badala yake nikalipa tsh 200,000/= .
Je kuna uwezekano wa kurudishia kiasi kilichozidi kwani katika meseji ya risiti wameandika ilo zidio.
Utaratibu?
Nilitakiwa kulipa tsh 20,000/= badala yake nikalipa tsh 200,000/= .
Je kuna uwezekano wa kurudishia kiasi kilichozidi kwani katika meseji ya risiti wameandika ilo zidio.
Utaratibu?