run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,825
- 3,133
J.P.Magufuli alihadi kwa kejeli akijaita majizi yote kupelekwa mahakamani pindi atakapokuwa rais leo nimeshuhudia akipigia debe watu waliojigawia mabilioni ya shilingi na kuyaita ela za mboga
my take:magufuli ni muongo sana anayekumbatia mafisadi kamwe hawezi lolote
my take:magufuli ni muongo sana anayekumbatia mafisadi kamwe hawezi lolote