Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,814
- 5,268
Sio kuuwa tu hata akawa tishio na mali yako pia.Sheria haifai kama ni kweli
Yaani mtu anaweza kukuua tu kwa wivu wa mapenzi kwa mfano,halafu aka fabricate ulikuwa unahatarisha usalama wa taifa na hawezi kushitakiwa kwa mauaji?
Ni hatari sana hii