Nilisema kabla

jamani hivi hao wadada wanaowakamua hivyo mnawapata wapi?We tafuta mmama wa miaka 50 and above utapenda!hawana gharama,wanakupenda kiukweli na ni wajuzi mno. we unaaangaiaka na walevi wa fashen lazima mifuko itoboke.

mmmmh!
 
kuna mtu aliuliza swali humu hao wasichana huo mnakutana nao vilabuni?
 
haha haaaaaa
kuhongwa suna!

Bure aghali!
 
Mie nashangaa, kuna mtu kaniloga nahisi. Hivi hata ubeba mikoba nimekosa?

Anyway, ngoja nipige twisheni wanafunzi wa fomu wani B.

hahaha tulia mamito, tafuta posho huo mshahara hata usiuulizie.
imekuwaje bingo la katiba likakupita malaki yote hayo? :tape::tape:
 
Hivi wewe una akili kweli??? Au ili mradi tu na wewe uonekane ligi ya ubishi unaiweza!!! Mama yako unaweza kumuomba papuchi?
Kama wewe huna hizo akili, usifikiri wote hawana ee! pole babu kama jiwe limekupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…