mi huwa nawakumbusha mara nyingi hapa, kuwa wanaume tunanyanyasika kwa kujitakia bure!
Sio haki hata kidogo, wataalam wanathibitisha kuwa...ktk sex anaepata utam mnoo... ni jinsia ke, lakin hapohapo muwajibikaji wa kila kitu mpaka gharama ya uwanja mara nyingi mzigo wote ni kwa mwanaume
jamani huu ni uonevu....ni uonevu huu.......tena wa kujitakia!