Na sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?
Papuchi ya bure wakati nyie ndo wapata raha zaidi, mnapiga kelele za ajabu ajabu....na msiporidhishwa ni maneno kibao mara oh boyfriend wangu hanifikishi kileleni!!!
Papuchi ya bure wakati nyie ndo wapata raha zaidi, mnapiga kelele za ajabu ajabu....na msiporidhishwa ni maneno kibao mara oh boyfriend wangu hanifikishi kileleni!!!
Halafu wanalilia haki sawa, haki sawa itapatikana vipi ilhali nyie mnajifanya wakuhudumiwa tu ila siku.Kwrli wanaboa sana. Nara moja moja poa lakini kila kitu jamani duh?
Wanaume mnaboa kitu kimoja, kama pesa ilikua mfukoni mwako, je uliwekewa bastola kichwani ili uitoe kwa nguvu???
Acheni kupotezea wanawake muda kwa weakness zenu wenyewe.