Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,945
- 7,945
.Happy Sunday to you all
Bas bwana, Enzi hizo nipo shule ya msingi walikuwa wanatoa zawadi kwa mtu wa kwanza hadi wa tatu, na mnasomwa kwa majina siku ya kufunga shule, so ni full maujiko kuitwa shule nzima inakuona, mpaka kufika darasa la nne mm nilikuwa sijawahi pata zawadi yeyote ππ
Si kwamba nilikuwa natamani zawadi zile, la hasha! Moyo wangu ulikuwa unatamani zile sifa wanazopata watu, mana baada ya kuitwa yale majina story zote za wanafunzi kwa week inayofuata ni kuwadiscuss hao magenius ( tulikuwa bush so hata wakat wa likizo tulikuwa tunaonana kwa % kubwa)
Bas bana, BEBERU ikabidi niingie chimbo kubunu mbwinu ya mm pia kuingia pale top 3, kusoma ikawa hapana, sina hayo mazoea mimi, kuangalizia kwenye mtihani, nikikamatwa aibu itakuwa kubwa sanaaaa ( nilikuwa famous sana shule) hivo ikabidi nichekeche ubongo zaidi kupata mbinu bora na ndo nikaja na hii mbinu ya kichina
Pale darasani kuna jamaa alikuwa anaongoza (anakuwa wa kwanza ) toka tupo la pili hajawahi shuka kabisa, so mimi nikasema lazima nijue huyu jamaa anafanyaje, trick ya kwanza nikajiweka urafiki nae, (haikuwa kazi kubwa kwa sababu nilikuwa famous, na akili zipo top ten hunikosi shida top 3), step ya pili ndio uchina wenyewe sasa, nilikuwa namcopy yule jamaa kila kitu ππππ (sio kwenye mitihan, ulinzi ulikuwa mkali), ni kwenye maisha ya kawaida, yan natembea na jamaa muda wote, nakaa nae darasani kiti kimoja, akisema aanze kusoma nahakikisha nasoma anachosoma au tusome wote ππ
In short nikawa kama yeye, nikajiunga uministrants (Wale wasaidizi wa padre pale kanisani kwa RC) Ili tu niwe karibu na jamaa nijue anafanyaje na anafaulu vipi, namba nawahi, yan tukawa marafiki sanaaa, ila ndo hivo mm namuiga tu jamaa sina mambo mengi πππ
#MATOKEO
Juhudi zangu zilizaa matunda kwan nikaanza kuwa wa pili darasani, toka darasa la tano mpaka la saba niliendelea kuwa wa pili darasani, sijawahi mshinda tule mwamba, jamaa hadi anamaliza alikuwa kajimilikisha namba moja nami kanipa mbili, ila ndo hivo, nadhani nilikosea kidogo, ningefanya kama wachina wa sasa (copy and improve) ningetoboa, mm nilifanya kama wachina wa zamani πππ just copy πππ
Nb.. sijawahi muangalizia kwenye mtihani mana tulikuwa tunapangwa upya, na kwa vile sisi huwa tunakaa class pamoja ko haikuwezekana kukaa pamoja kwa paper,
Ila ndo hivo, Nili improve ila sikumshinda master wangu
Vipi wew ulibunu mbwinu gani ili uweze kupanda kiufaulu au hata kimaisha ?
Karibuni snaa kwa mjadala,
Ni mimi yule yule Beberu J ila hapa nilitumia mbinu za kichina ππ
Alamsiki π
Bas bwana, Enzi hizo nipo shule ya msingi walikuwa wanatoa zawadi kwa mtu wa kwanza hadi wa tatu, na mnasomwa kwa majina siku ya kufunga shule, so ni full maujiko kuitwa shule nzima inakuona, mpaka kufika darasa la nne mm nilikuwa sijawahi pata zawadi yeyote ππ
Si kwamba nilikuwa natamani zawadi zile, la hasha! Moyo wangu ulikuwa unatamani zile sifa wanazopata watu, mana baada ya kuitwa yale majina story zote za wanafunzi kwa week inayofuata ni kuwadiscuss hao magenius ( tulikuwa bush so hata wakat wa likizo tulikuwa tunaonana kwa % kubwa)
Bas bana, BEBERU ikabidi niingie chimbo kubunu mbwinu ya mm pia kuingia pale top 3, kusoma ikawa hapana, sina hayo mazoea mimi, kuangalizia kwenye mtihani, nikikamatwa aibu itakuwa kubwa sanaaaa ( nilikuwa famous sana shule) hivo ikabidi nichekeche ubongo zaidi kupata mbinu bora na ndo nikaja na hii mbinu ya kichina
Pale darasani kuna jamaa alikuwa anaongoza (anakuwa wa kwanza ) toka tupo la pili hajawahi shuka kabisa, so mimi nikasema lazima nijue huyu jamaa anafanyaje, trick ya kwanza nikajiweka urafiki nae, (haikuwa kazi kubwa kwa sababu nilikuwa famous, na akili zipo top ten hunikosi shida top 3), step ya pili ndio uchina wenyewe sasa, nilikuwa namcopy yule jamaa kila kitu ππππ (sio kwenye mitihan, ulinzi ulikuwa mkali), ni kwenye maisha ya kawaida, yan natembea na jamaa muda wote, nakaa nae darasani kiti kimoja, akisema aanze kusoma nahakikisha nasoma anachosoma au tusome wote ππ
In short nikawa kama yeye, nikajiunga uministrants (Wale wasaidizi wa padre pale kanisani kwa RC) Ili tu niwe karibu na jamaa nijue anafanyaje na anafaulu vipi, namba nawahi, yan tukawa marafiki sanaaa, ila ndo hivo mm namuiga tu jamaa sina mambo mengi πππ
#MATOKEO
Juhudi zangu zilizaa matunda kwan nikaanza kuwa wa pili darasani, toka darasa la tano mpaka la saba niliendelea kuwa wa pili darasani, sijawahi mshinda tule mwamba, jamaa hadi anamaliza alikuwa kajimilikisha namba moja nami kanipa mbili, ila ndo hivo, nadhani nilikosea kidogo, ningefanya kama wachina wa sasa (copy and improve) ningetoboa, mm nilifanya kama wachina wa zamani πππ just copy πππ
Nb.. sijawahi muangalizia kwenye mtihani mana tulikuwa tunapangwa upya, na kwa vile sisi huwa tunakaa class pamoja ko haikuwezekana kukaa pamoja kwa paper,
Ila ndo hivo, Nili improve ila sikumshinda master wangu
Vipi wew ulibunu mbwinu gani ili uweze kupanda kiufaulu au hata kimaisha ?
Karibuni snaa kwa mjadala,
Ni mimi yule yule Beberu J ila hapa nilitumia mbinu za kichina ππ
Alamsiki π