CORONA ERASER
Member
- Apr 10, 2020
- 13
- 20
pole na hongera kwa kuruka mtego
Ukute umeoa mke numberhilo la kununyolewa du Haas haaa, sasa ukute una wanawake 4 tena kabila tofauti kweli lazima akili iyumbe kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa kisukuma ni wazuri kwa wasukuma wenzao. Wewe kaoe kwenu hata mke akikuwekea limwata ndugu zako watalitegua. Wewe unajua wasukuma wanatumia miti gani kwenye limbwata?
Wewe umetaja makabila haya manne, kuna mwingine atakuja nae atataja yake matano tofauti kabisa nahaya, halafu atakuja mwingine nae ataongeza yake matatu tofauti nahaya yakwenu,Ukute umeoa mke number
1. Mrangi
2. Muha
3. Mmakonde
4. Mnyamwezi
Aisee utarogwa mpaka ndugu zako uwasahau hata majina
Thanks friend nipo makini sitaki mazoeaPole sana mkuu unabahati sana, hata hako katoto uwe nako makini itakuwa kamezaliwa kwakusudi maalumu ukijichanganya tu umeliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu hawana shukrani. Miaka 6 iliyopita nlikutana na binti fulani wa kisukuma baada ku-wrong number kwangu nikamsaka tukaonana mitaa yao ndio nilikuwa na site yangu.
Baada ya hapo tukaingia kwenye mahusiano akanasa mimba, nikamwambia aitoe ikashindika ikabidi aende kwao Nzega akajifungua.
Ilipita mwaka bila kuonana mimi nilikuwa Tanga kikazi, baada ya kurudi Dar nikaamua nikamcheki mtoto nilipe nusu mahari nimchukue tuje tuanze maisha.
Nilifanikiwa baada ya kuonana na wazee wake nikaandika barua ya uchumba nikakubaliwa, mimi nikatangulia Dar baada ya 2 weeks nikatuma nauli akaja bongo tukaanza maisha.
Nilimjali sana kwa kila kitu kama mume, baada ya week 1 nikaanza kuona kama hayuko real kutwa anaongea familia yao kisukuma nikampotezea.
Wiki ya 2 akaaga anaenda kwa ndugu zake kusalimia, nikamruhusu ila machale yalinicheza nikamwambia mdogo wangu niliyekuwa naishi naye kama hiyo safari yake ya wema au ubaya tutajua tu.
Alivyorudi mchana sikuwepo, nikarudi usiku wa saa 2 nikakuta amelala chakula katenga kabisa kipo mezani, nikatilia shaka chakula cha pekee ako ila nikaomba Mungu nikakila. Baada ya masaa mawili tumbo likaanza kuvuruga mbaya nikajua ule msosi sio mzuri, nikamwambia mke lakini hakujali kabisa. Nikasitisha kula chochote hapo ndani nikaenda hospitali nikapatiwa dawa lakini sikupata nafuu.
Siku ya 9 bila mafanikio nakapata wazo la kumfanyia upekuzi mizigo yake yote aliyokuja nayo kwa ghafla, ikumbukwe siku zote hakujali kabisa hata kuniuliza hali na alikataa katakata kuwa ameniwekea sumu kwenye chakula.
Nikaamvizia saa 2 usiku nikamtaarifu nataka nikague mizigo yako yote nijiridhishe, wakuu alitoa macho makali ili anitishe nikaanza kutoa kitu kimoja baada kingine nikakuta mfuko mweusi upo kwenye nguo za mtoto una tunguli 13 zimefungwa kwenye vilailoni ndani kuna ungaunga kila rangi.
Nahisi alikuwa mwanga, nikazimwaga sebuleni nikamuita mdogo wangu akashuhudia nikapiga picha, baada ya hapo nikapiga simu kwao kuwajulisha kilichotokea ajabu hawakujali kabisa wakaanza kumtetea nikawaambia wampokee mtoto wao.
Kesho kulivyokucha mapema nikampeleka Ubungo nikampandisha basi nikafuta namba, nikamblock nikamtupa mazima.
Sasa hivi yupo Dar ana mimba ya jamaa mwingine na mtoto wangu ana 5yrs.
Mimi nilienda kutibiwa Tanga.
Wanaume tusikurupukie wanawake kisa umezaa naye, atakuondoa amiliki mjengo akae na ndugu zake au basha wake. Mwache awe single mother tu.
Bila kusahau wapare/sambaa kifo nje nje.Ukute umeoa mke number
1. Mrangi
2. Muha
3. Mmakonde
4. Mnyamwezi
Aisee utarogwa mpaka ndugu zako uwasahau hata majina
Niambie kama kuna kabila kali kwa limwata kamaWewe umetaja makabila haya manne, kuna mwingine atakuja nae atataja yake matano tofauti kabisa nahaya, halafu atakuja mwingine nae ataongeza yake matatu tofauti nahaya yakwenu,
Mwisho mtakuja kukuta mmetaja karibu makabila yote ya Tanzania!sasa sijui utaenda kuoa kabila gani!!! Tafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitake radhi
Wewe nn sasa kama ameomba tunda na unalo si umpe uchoyo wa nn saa GyoleWanaume mnashangaza sana, yaani uki wrong namba kwa mwanamke Ni kosa la jinai, mnataka tunda kwa lazima eti Mungu katukutanisha, mnakera sana Bora ulivyorogwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah,mkuu pole sana.Hivi bado upo hai?Huyo jamaa mwingine vipi naye ana tunguli?Binadamu hawana shukrani. Miaka 6 iliyopita nlikutana na binti fulani wa kisukuma baada ku-wrong number kwangu nikamsaka tukaonana mitaa yao ndio nilikuwa na site yangu.
Baada ya hapo tukaingia kwenye mahusiano akanasa mimba, nikamwambia aitoe ikashindika ikabidi aende kwao Nzega akajifungua.
Ilipita mwaka bila kuonana mimi nilikuwa Tanga kikazi, baada ya kurudi Dar nikaamua nikamcheki mtoto nilipe nusu mahari nimchukue tuje tuanze maisha.
Nilifanikiwa baada ya kuonana na wazee wake nikaandika barua ya uchumba nikakubaliwa, mimi nikatangulia Dar baada ya 2 weeks nikatuma nauli akaja bongo tukaanza maisha.
Nilimjali sana kwa kila kitu kama mume, baada ya week 1 nikaanza kuona kama hayuko real kutwa anaongea familia yao kisukuma nikampotezea.
Wiki ya 2 akaaga anaenda kwa ndugu zake kusalimia, nikamruhusu ila machale yalinicheza nikamwambia mdogo wangu niliyekuwa naishi naye kama hiyo safari yake ya wema au ubaya tutajua tu.
Alivyorudi mchana sikuwepo, nikarudi usiku wa saa 2 nikakuta amelala chakula katenga kabisa kipo mezani, nikatilia shaka chakula cha pekee ako ila nikaomba Mungu nikakila. Baada ya masaa mawili tumbo likaanza kuvuruga mbaya nikajua ule msosi sio mzuri, nikamwambia mke lakini hakujali kabisa. Nikasitisha kula chochote hapo ndani nikaenda hospitali nikapatiwa dawa lakini sikupata nafuu.
Siku ya 9 bila mafanikio nakapata wazo la kumfanyia upekuzi mizigo yake yote aliyokuja nayo kwa ghafla, ikumbukwe siku zote hakujali kabisa hata kuniuliza hali na alikataa katakata kuwa ameniwekea sumu kwenye chakula.
Nikaamvizia saa 2 usiku nikamtaarifu nataka nikague mizigo yako yote nijiridhishe, wakuu alitoa macho makali ili anitishe nikaanza kutoa kitu kimoja baada kingine nikakuta mfuko mweusi upo kwenye nguo za mtoto una tunguli 13 zimefungwa kwenye vilailoni ndani kuna ungaunga kila rangi.
Nahisi alikuwa mwanga, nikazimwaga sebuleni nikamuita mdogo wangu akashuhudia nikapiga picha, baada ya hapo nikapiga simu kwao kuwajulisha kilichotokea ajabu hawakujali kabisa wakaanza kumtetea nikawaambia wampokee mtoto wao.
Kesho kulivyokucha mapema nikampeleka Ubungo nikampandisha basi nikafuta namba, nikamblock nikamtupa mazima.
Sasa hivi yupo Dar ana mimba ya jamaa mwingine na mtoto wangu ana 5yrs.
Mimi nilienda kutibiwa Tanga.
Wanaume tusikurupukie wanawake kisa umezaa naye, atakuondoa amiliki mjengo akae na ndugu zake au basha wake. Mwache awe single mother tu.
Binadamu hawana shukrani. Miaka 6 iliyopita nlikutana na binti fulani wa kisukuma baada ku-wrong number kwangu nikamsaka tukaonana mitaa yao ndio nilikuwa na site yangu.
Baada ya hapo tukaingia kwenye mahusiano akanasa mimba, nikamwambia aitoe ikashindika ikabidi aende kwao Nzega akajifungua.
Ilipita mwaka bila kuonana mimi nilikuwa Tanga kikazi, baada ya kurudi Dar nikaamua nikamcheki mtoto nilipe nusu mahari nimchukue tuje tuanze maisha.
Nilifanikiwa baada ya kuonana na wazee wake nikaandika barua ya uchumba nikakubaliwa, mimi nikatangulia Dar baada ya 2 weeks nikatuma nauli akaja bongo tukaanza maisha.
Nilimjali sana kwa kila kitu kama mume, baada ya week 1 nikaanza kuona kama hayuko real kutwa anaongea familia yao kisukuma nikampotezea.
Wiki ya 2 akaaga anaenda kwa ndugu zake kusalimia, nikamruhusu ila machale yalinicheza nikamwambia mdogo wangu niliyekuwa naishi naye kama hiyo safari yake ya wema au ubaya tutajua tu.
Alivyorudi mchana sikuwepo, nikarudi usiku wa saa 2 nikakuta amelala chakula katenga kabisa kipo mezani, nikatilia shaka chakula cha pekee ako ila nikaomba Mungu nikakila. Baada ya masaa mawili tumbo likaanza kuvuruga mbaya nikajua ule msosi sio mzuri, nikamwambia mke lakini hakujali kabisa. Nikasitisha kula chochote hapo ndani nikaenda hospitali nikapatiwa dawa lakini sikupata nafuu.
Siku ya 9 bila mafanikio nakapata wazo la kumfanyia upekuzi mizigo yake yote aliyokuja nayo kwa ghafla, ikumbukwe siku zote hakujali kabisa hata kuniuliza hali na alikataa katakata kuwa ameniwekea sumu kwenye chakula.
Nikaamvizia saa 2 usiku nikamtaarifu nataka nikague mizigo yako yote nijiridhishe, wakuu alitoa macho makali ili anitishe nikaanza kutoa kitu kimoja baada kingine nikakuta mfuko mweusi upo kwenye nguo za mtoto una tunguli 13 zimefungwa kwenye vilailoni ndani kuna ungaunga kila rangi.
Nahisi alikuwa mwanga, nikazimwaga sebuleni nikamuita mdogo wangu akashuhudia nikapiga picha, baada ya hapo nikapiga simu kwao kuwajulisha kilichotokea ajabu hawakujali kabisa wakaanza kumtetea nikawaambia wampokee mtoto wao.
Kesho kulivyokucha mapema nikampeleka Ubungo nikampandisha basi nikafuta namba, nikamblock nikamtupa mazima.
Sasa hivi yupo Dar ana mimba ya jamaa mwingine na mtoto wangu ana 5yrs.
Mimi nilienda kutibiwa Tanga.
Wanaume tusikurupukie wanawake kisa umezaa naye, atakuondoa amiliki mjengo akae na ndugu zake au basha wake. Mwache awe single mother tu.