Naona wengi wametoa ushauri mzuri sana. Kweli, kaa chini mwambie ukweli huyo mpenzi wako wa sasa, mwambie nini kinachoendelea, usimfiche chochote. Halafu, huyo mwanaume wa zamani anaonekana mshamba sana, how come alikuwa anakutesa kihivyo? Yaani anaongea na simu na mpenzi wake mbele yako? Tatizo kuna wanaume wengine wakijua mwanamke amekufa kimapenzi wanaitumia hiyo chance vibaya. Pole sana dada.