Ukitaka kuomba kazi serikalini inakuwaje? Mfano Ikulu au Mambo ya Nje inakuwaje?
Nikiangalia majina ya wanaongia huko kuna kama ka harufu ka undugunization. Mtu unakuwa unazumza lugha saba za kimataifa; umebobea kwenye sheria za kimataifa na uchumi. Hivi yale matangazo huwa ni geresha tu ama? Au tayari nao wamekuwa kama Ilinwaa - Chicago?
Kwa nini majina yote yanashikamana na awamu ya pili, ya tatu na sasa ya nne(ukijuisha na majeruhi wa siasa za Kubaka uchumi)
Haya naomba msaada tutani... huwa maombi yanaendaje?
Nikiangalia majina ya wanaongia huko kuna kama ka harufu ka undugunization. Mtu unakuwa unazumza lugha saba za kimataifa; umebobea kwenye sheria za kimataifa na uchumi. Hivi yale matangazo huwa ni geresha tu ama? Au tayari nao wamekuwa kama Ilinwaa - Chicago?
Kwa nini majina yote yanashikamana na awamu ya pili, ya tatu na sasa ya nne(ukijuisha na majeruhi wa siasa za Kubaka uchumi)
Haya naomba msaada tutani... huwa maombi yanaendaje?