Nilinunua pagala Mbeya 2017 kwa shilingi 3.5M, haliuziki hadi leo

Nimeishi huko miaka mitatu niliondoka 2017,kwa miaka hiyo niligundua haya; gharama za vyakula zipo chini ila mzunguko wa pesa ni mgumu,kule kwa mtu muajiriwa au yeyote mwenye uhakika wa kupata hata laki nane au saba kwa mwezi basi ataishi maisha ya unafuu, kiukweli nyumba nyingi zina standard ndogo sana na hazivutii kutokana na aina ya ujenzi, kiukweli watoto wa kike wa kule wakikupenda huwa ving'ang'anizi na wanajua kupenda halafu huwa hawasumbui sana alafu wajue umetoka dar ,kibiashara maeneo machache sana yamechangamka,makanisa ni mengi aisee,Mbeya wanapenda sana elimu tena sana,kule vituo vya kuresit mitihani ni vingi sana nilikua na wadogo zangu flani wananiambia Kuna watu wanarudia mitihani mpaka mara tatu au nne ili tu wapate credit za kwenda advance na vyuoni kitu ambacho kwa sehemu kama dar mtu akifeli shule huwa haangahiki na hizo habari,shule ni nyingi sana kuanzia za serikali mpaka binafsi,miundombinu kama barabara kule bado kupo nyuma sijui tatizo nini,
 
Mji au hata nchi kama haina viwanda ni vigumu sana kuendelea na kuwa na mzunguko wa hela.
Mji au nchi yeyote inayotegemea kilimo kama nguzo mkuu ya kupata fedha, hiyo nchi au mji itakuwa hauna mzunguko wa pesa na itakuwa maskini.
 
Wakuu, Mbeya sijui kuna shida gani thamani ya majengo na viwanja havipandi thamani kabisa!!

Mwaka 2017 nilinunua kiwanja chenye pagala (jengo ambalo halijaisha). Nikalimalizia nikaezeka na kupiga plasta.

Ila hadi leo kupata mpangaji wa elfu 15 maeneo hayo hamna. Nawaza kuuza ila bei ya maeneo hayo ni mbovu sana!! Naweza kuambulia kuuza milion 4.

Ni huzuni kwakweli
Mbeya ni kubwa mwanangu!
Isije ikawa huko kwa wasukuma Kilambo
 
Mpaka wa tunduma upo mbeya au songwe?

Au hujui songwe ni mkoa saizi
Boss nnaijua mbeya in and out ili ufike tunduma unapita wapi labda?

Haya majina mapya ya mikoa sijui wilaya hayabadilishi chochote nilicho andika hapo juu

Mkoa wa songwe na mbeya ni kitu kile kile kinachobadilika ni shughuli za kiutawala na majina ila miundombinu na fursa vinategemeana
 
Boss nnaijua mbeya in and out ili ufike tunduma unapita wapi labda?

Haya majina mapya ya mikoa sijui wilaya hayabadilishi chochote nilicho andika hapo juu

Mkoa wa songwe na mbeya ni kitu kile kile kinachobadilika ni shughuli za kiutawala na majina ila miundombinu na fursa vinategemeana
Kwaio njombe.iringa..mpaka chalinze kote ni pazuri kuwekeza ardhi kisa njia inaenda mpakani?
 
Mji au hata nchi kama haina viwanda ni vigumu sana kuendelea na kuwa na mzunguko wa hela.
Mji au nchi yeyote inayotegemea kilimo kama nguzo mkuu ya kupata fedha, hiyo nchi au mji itakuwa hauna mzunguko wa pesa na itakuwa maskini.
Cha kushangaza hiyo miji/mikoa ya wakulima ndiyo inaongoza kwa GDP per Capita nchini. Nchi hii ni maskini sana.
 
Wakuu, Mbeya sijui kuna shida gani thamani ya majengo na viwanja havipandi thamani kabisa!!

Mwaka 2017 nilinunua kiwanja chenye pagala (jengo ambalo halijaisha). Nikalimalizia nikaezeka na kupiga plasta.

Ila hadi leo kupata mpangaji wa elfu 15 maeneo hayo hamna. Nawaza kuuza ila bei ya maeneo hayo ni mbovu sana!! Naweza kuambulia kuuza milion 4.

Ni huzuni kwakweli
@lucasmwashamba
 
Back
Top Bottom