Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 504
- 874
Wakuu, Mbeya sijui kuna shida gani thamani ya majengo na viwanja havipandi thamani kabisa!!
Mwaka 2017 nilinunua kiwanja chenye pagala (jengo ambalo halijaisha). Nikalimalizia nikaezeka na kupiga plasta.
Ila hadi leo kupata mpangaji wa elfu 15 maeneo hayo hamna. Nawaza kuuza ila bei ya maeneo hayo ni mbovu sana!! Naweza kuambulia kuuza milion 4.
Ni huzuni kwakweli
Mwaka 2017 nilinunua kiwanja chenye pagala (jengo ambalo halijaisha). Nikalimalizia nikaezeka na kupiga plasta.
Ila hadi leo kupata mpangaji wa elfu 15 maeneo hayo hamna. Nawaza kuuza ila bei ya maeneo hayo ni mbovu sana!! Naweza kuambulia kuuza milion 4.
Ni huzuni kwakweli