Nilimzalisha dada yangu, nitapata laana?

Nilimzalisha dada yangu, nitapata laana?

mwanadamu hufanya kosa mara moja lakini isiwe ndio mchezo, na wewe pia inaelekea mchezo unaupenda,mwanamme unazidiwaje kete na mwanamke? yani wanaume wanazidi kupungua siku hadi siku...

Kuzidiwa kete kwake sio kwa namna ufkiriavyo wewe, Kwenye mapenzi hakuna uanaume, unafail kwa mda, na pia kumbuka hawa wanapendana kiasili ya uzao wao sasa jumlisha hapo na mahaba.
 
Nahisi kama hujaamua kuacha maana sioni juhudi uzizofanya za kivile kuachana na huyo dadako. Huyo dada ungemfanya kama ex wife, zaidi ungemsaidia na malezi ya watoto au arudi kijijini. Kuwepo kwenu mji mmoja ni hatari zaidi, zaidi rudi kwa mungu wako.

Unaweza kulikwepa ukiamua, huyo dada wa bank mpe ukweli uamuzi unakuwa ni wake.
 
Kuzidiwa kete kwake sio kwa namna ufkiriavyo wewe, Kwenye mapenzi hakuna uanaume, unafail kwa mda, na pia kumbuka hawa wanapendana kiasili ya uzao wao sasa jumlisha hapo na mahaba.
Mkuu najua kupenda nakupendwa mie,ivi hayo mapenzi ya dada na kaka wa baba na mama mmoja unayachukuliaje wewe? umesha fanya kosa mara ya kwanza mpaka mkazaa haijatosha bado mnarudia tena yani watu kama hao hata watoto wao wana lalanao bila kujiuliza mara 2, usifananishe mapenzi ya watu ambao wanaweza kuowana na watu kama hao....
 
Pole sanachief!!! Hiyo inaweza kuwa laana, ikapelekea hao watoto kuishi katika kizazicha laana. Kitu cha msingi ni kuwaita wazazi na ndg wa karibu ili muwezekulielezea hili. Maana tatizo kubwa hapa ni usiri uliopo. Ingekuwa ni laanawewe mwenyewe usinngeweza kufanya hizo biashara na kuendelea au kufika hapoulipo. Hili tatizo likiwekwa wazi basi hata dada yako atakuwa na msimamo wakutafuta mwanaume wake, na wewe utakuwa na ujasiri wa kuwasaidia wale watotokama wako/wapwa, lakini pia kuoa mwanamke wako.

Kuna baadhi yamakabila huwa hawarusiwi kuoa binamu. Lakini mara ikitokea wamepeana mimba nabinamu, basi wana ndugu wanakaa then wanawaruhusu muishi pamoja kwa ajili yakulinda heshima yenu na ya ukoo.

Otherwise,kumgegeda dada yako kuna laana kutokana na majukumu ambayo huambana kamamkipena mimba.
 
Stop it now and stop forever, nenda kaseme kwa kiongozi wako wa dini akupe ushauri nasaha wa namna ya kuruka hicho kiunzi!
 
Mbona ulishapata laana tayari wakati tu unafikiria kumgonga dasa yako
 
Aisee ndugu yangu kama hii story ni ya kweli, rudi msalabani tubu SOMA kama wewe ni mkristo katika KUMBU KUMBU LA TORATI 27:16,22,26. Halafu kilichosababisha baba yako kufa ni hicho kitendo mlichofanya. Halafu chunguza sana ukoo wenu utakuta hiyo laana ipo, sasa tafuta watumishi wa Mungu waliookoka kweli kweli wavunje hiyo laana katika Jina La YESU nanyi mtakuwa huru na uhakika wa kuishi kwa amani.
 
Aisee.hongera sana mkuu kwa kupata mapacha.

Ulifanyajefanyaje???
 
Mungu ni mwenye huruma. ukiamua kumgeukia atakuondoa chin ya laana maana mpaka sasa unalaana tayar
 
No one is perfect,siwezi kukulaumu ni matatizo tu ya kibinadamu,ila unapaswa kumrudia mungu wako tubu na umwambie dada ako kwamba unaenda kumweleza mama pamoja na wazee,then utamsikilizia atakavyosema,majibu yake yatakupa uamuzi either msitishe game iwe siri yenu or au umweleze mama liwalo na liwe,You have to choose the correct decision.
 
Daily hua najiuliza ikiwa dunia nzima hatufany incest koz dunia tuna ancestor wawili adam na eva, koz ukifikiria kwa hivi utaona dunia nzima tunafanya bonge moja la incest.
That aside,
Ingekua mmezaa lakin hamuendlei kuzini ingekua sawa kumuambia mpenz wako mpya, ila kwa kua mnaendlea nahs itabid uvunje kwanza mahusiano na dada ndiyo umtangazie mpenz wako juu ya hiyo ishu.
 
Mawazo yetu ndo scenes za part two ya muvi yako bro.. Nahc ww utakuwa Vincent Kigosi
 
Ukweli ni kwamba tayari una laana maana wacha sheria za nchi dunia nzima kuona kuwa 'incest' ni kosa la jinai lakini hata dini zote kubwa duniani hilo ni kosa kubwa sana. Hakuna sababu yoyote ile ambayo inaweza kuhalalisha kitendo hicho.
Pengine hapo cha kufanya ni kumuomba mungu akusamehe tu hakuna jingine zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom