Kwahiyo upo tayari akunenee sahivi ya kuwa utakufa? Hili ndio swali la msingi, huko pengine inajulikana.Akiniambia nitakufa atakuwa hajatabiri chochote kwa sababu hata mimi najua nitakufa na kila mtu mwenye akili anajua atakufa.
Akiniambia nitakufa siku gani na saa ngapi, hapo anaweza kunisaidia kama utabiri wake utakuwa kweli.Maana naweza kujiandaa vizuri zaidi.
Anaweza kuniambia siku na saa nitakayofariki?
Ulijisikiaje baada ya kusikia huyo dada amefariki?
Kwamba nitakufa hata mimi najua, sasa akininenea nitakufa wakati mimi najua nitakufa atabadilisha nini?Kwahiyo upo tayari akunenee sahivi ya kuwa utakufa? Hili ndio swali la msingi, huko pengine inajulikana.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
BTW trust me MIMI NINA MDOMO MBAYA!!! Sijivunii wala sijisifu na kwakweli kuna wakati huwa najiogopa binafsi kwakuwa hata mimi mwenyewe nikisita kufanya jambo kisha nikafosi huwa inakula kwanguMkuu basi usiwaambie watu watakufa. Just teach them a lesson and then take it easy. Wanawake wengi wana matatizo tofauti, wengine wanataka mme, wengine mtu kuwasaidia, wengine wanatafuta boyfriend. Wewe kama unataka kumwacha girlfriend mwache taratibu.
Tehehehe hehehe, pamoja na hali mgumu ya maisha kwa sasa na madeni yote iliyonayo nchi yako, bado inaonesha unaipenda pumzi yako. Umesita kabisa kutoa ridhaa ya kutamkiwa hivyo.Kwamba nitakufa hata mimi najua, sasa akininenea nitakufa wakati mimi najua nitakufa atabadilisha nini?
Nani ambaye hatakufa?
Kwani hata usiposema kuwa atakufa, hafi? Kuna mtu hatakufa? Labda ungesema atakufa lini na das ngapi.Nimekumbuka hili tukio kuna mtu kanikera leo nikataka kumwambia utakufa ila nikasita
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mzee yaelekea wewe ni handsome sana kufikia hatua ya kung'ang'aniwa na wahudumu wa bar.
Natoa ridhaa, ushafurahi?Tehehehe hehehe, pamoja na hali mgumu ya maisha kwa sasa na madeni yote iliyonayo nchi yako, bado inaonesha unaipenda pumzi yako. Umesita kabisa kutoa ridhaa ya kutamkiwa hivyo.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
Jamaa naona anakwepesha goli tu, Mi namuliza kama yupo tayari atamkiwe anaishia kuruka ruka ruski.BTW trust me MIMI NINA MDOMO MBAYA!!! Sijivunii wala sijisifu na kwakweli kuna wakati huwa najiogopa binafsi kwakuwa hata mimi mwenyewe nikisita kufanya jambo kisha nikafosi huwa inakula kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
OkayKwani hata usiposema kuwa atakufa, hafi? Kuna mtu hatakufa? Labda ungesema atakufa lini na das ngapi.
BTW trust me MIMI NINA MDOMO MBAYA!!! Sijivunii wala sijisifu na kwakweli kuna wakati huwa najiogopa binafsi kwakuwa hata mimi mwenyewe nikisita kufanya jambo kisha nikafosi huwa inakula kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wahadhiri wengi wa UDSM pamoja na wanachuo wao wapenda pale cut per termDah Igongwe bar imeua sana watu hiyo kuanzia wamiliki Mr n Mrs Maganga had wateja wa enzi hizona mabar maid wengi wameondoka!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] tugawane faida boss you are the next bill GATESNatoa ridhaa, ushafurahi?
Hujajibu swali langu. Nani hatakufa?
Hali ngumu ya nchi yangu hainihusu. I am actually embarassed by how much money I make while people are screaming hali ngumu.
Ijumaa tu nimetengeneza faida ya $3,800. That is US dollars. Kwa hela zenu za madafu huko, kwa exchange rate ya leo bongo hiyo ni Tanzanian shillings 8,512,000.
Hiyo ni faida niliyoongeza kwa siku moja. Si msingi, si faida ya mwaka. Ni faida ya siku moja tu.
Na nina uwezo wa kupiga hata mara tano ya hiyo hela kwa siku.
Sasa kama wewe umekwama na hali ngumu ya huko kwenu niombe mkopo tu.
Usifikiri kila mtu ana hali ngumu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], umeguswa kidogo umepovuka yote haya. Dalili tosha haupo salama katika hizo USD.Natoa ridhaa, ushafurahi?
Hujajibu swali langu. Nani hatakufa?
Hali ngumu ya nchi yangu hainihusu. I am actually embarassed by how much money I make while people are screaming hali ngumu.
Ijumaa tu nimetengeneza faida ya $3,800. That is US dollars. Kwa hela zenu za madafu huko, kwa exchange rate ya leo bongo hiyo ni Tanzanian shillings 8,512,000.
Hiyo ni faida niliyoongeza kwa siku moja. Si msingi, si faida ya mwaka. Ni faida ya siku moja tu.
Na nina uwezo wa kupiga hata mara tano ya hiyo hela kwa siku.
Sasa kama wewe umekwama na hali ngumu ya huko kwenu niombe mkopo tu.
Usifikiri kila mtu ana hali ngumu.
Noted [emoji120] [emoji120] [emoji120]Mkuu, count to ten, before you talk, Go easy with our sisters, you are smart guy you will be just fine, but put yourself in their shoes sometimes. You will will find that they have different objectives which are valid.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] take it easeJamaa naona anakwepesha goli tu, Mi namuliza kama yupo tayari atamkiwe anaishia kuruka ruka ruski.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
Nmeandika nipo tayari hapo juu.Jamaa naona anakwepesha goli tu, Mi namuliza kama yupo tayari atamkiwe anaishia kuruka ruka ruski.
"PAMBANA NA HALI YAKO"