Nilimtongoza kiutani sasa kaniganda

Kwan ukifanya matusi na demu ni lazma umuoe! Kama ni ivo mtatosha? Na je maujuzi tutajifunzia wapi?
Kwani shuleni hakunaga mitihani ya majaribio!?
 
Mwambie Akijiua na we utajiua pia na utaandika ujumbe kama yy ... Hapo lazima apumue fasta
 
KUMBE BADO WAPO WA KUTISHIA KUJIUA
 
Kisa kama cha kwangu, kuna kanachuo Fulani nilikatafuta kitani kwa what's up ... Sasa kana ganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…