Nilimtongoza akanikatalia, karudi tena

Nilimtongoza akanikatalia, karudi tena

Yule aliyekuwa anampenda na kumzuzua kamtema,karudi kwako....piga chini.
 
Unategemea alikataa Vp Mara ya kwanza, kama alisema wewe Sio type yake kwa mfano achana nae, atakua Gold digger. Kama alisema ana mtu au msubiri akuchunguze jaribu atakua amemwagwa au kamwaga alikotoka.
 
ukishakuwa na wasi wasi usiende huko! utakuja kusema bora nisingemtongoza tena.
nenda sehem ambayo moyo wako unakuwa mweupee
 
Kwan kwa sasa financial statement yako inasomekaje?
 
Unataka tukushauri kama umtongoze tena? Au kama ana kupenda?

Mwambie umeokoka sikuizi
 
mkuu ulikosea, siku izi awatongozwe hao, ukimtongoza tena atakukataa tu, wewe nenda nae taratibu utajikuta umefaidi tu
 
usimtongoze muite geto akiibuka mshike shike akilegea mle mate akikuacha mtie kidole puani mengine endelea taratibu ila ukimwambia tena atakukataa utaumia...
 
Ucmtongoze tena bhana now Fanya michakato ya kumgegeda juu kwa juu then umpige chin asikuzoee
 
Ningekuwa mie, namwambia sawa, then yeye anitongoze mpaka nikubali akishindwa ndo basi tena, halaf miaka 4 mingi bado ana mvuto ??
 
Wanajamvi kwanza natanguliza heshima kwenu.
Kilichonisukuma kuandika hapa ni kwamba kuna binti niliwahi kumtongoza miaka minne iliyopita kwa bahati mbaya alinikatalia. Lakini sasa hivi naona kila dalili ya kunipenda lakini naogopa kumtongoza tena asije akanikataa kwa mara ya pili.

Naombeni ushauri wenu wanajamvi, karibuni sana kwani mawazo yenu ni muhimu
Mtafune
 
Back
Top Bottom