Hahahaha, ila kwenye CCM Mkuu nitake radhi. Mkuu hawa viumbe hivyo ndo wanavyotakiwa kufanywaWee jamaa una roho ngumu kama wanachama wa ccm
Wakuu kwema?
Nilimtongoza huyu binti akanikataa na kunitamkia maneno ya kuniumiza moyo, mimi nikampotezea, kaanza mwenyewe kunitafuta tena anataka nini kwangu hivi?