Nilimpenda lakini namuacha

Nilimpenda lakini namuacha

🤣🤣🤣🤣Hakika ulikuwa na pisi ya hovyo
 
My wangu relax
Huku mjini my my ndio zimejaaa
Kama nick name ya chap chap
🤣🤣
Basi mie mtu akiniita hizo 'my' huwa simuelewi, huwa tunataniana na Darlin hiyo ya 'my wangu'..!!

Kuna watu wako serious kabisa eti 'kwn nimkxea wp xx my wangu'..? Huwa natamani niwaue..!!😂
 
Basi mie mtu akiniita hizo 'my' huwa simuelewi, huwa tunataniana na Darlin hiyo ya 'my wangu'..!!

Kuna watu wako serious kabisa eti 'kwn nimkxea wp xx my wangu'..? Huwa natamani niwaue..!!😂
My tajiri tulia 🤣
Ukija huku shamba utazikuta my nyingi tu jamani
 
Binafsi mtu akiniandikia hivyo huwa simjibu na naachanae kbs haijalishi ni nani. Wengine hadi wananupugia simu kuuliza kulikoni mbona kimya, huwa nawajibu natafuta mtu wa kunisomea txt zako ili nisikujibu kusicho sahihi, baada ya hapo huelewa
 
Kwa huo mwandiko ni hatari
piga chini mkuu hyo kiburi ni kingi
 
Basi mie mtu akiniita hizo 'my' huwa simuelewi, huwa tunataniana na Darlin hiyo ya 'my wangu'..!!

Kuna watu wako serious kabisa eti 'kwn nimkxea wp xx my wangu'..? Huwa natamani niwaue..!!😂
Xx kwnn uchkie my wang😆😆😆
Km hpndi xi uxem

Nimekumiss lakini my wangu
 
Back
Top Bottom