Nilimpenda kumbe kahaba wa kutupa

Nilimpenda kumbe kahaba wa kutupa

NIPE NAMBA YAKE NIMSHAURI AACHE UMALAYA

BTW

WANAWAKE WENGI (SIO WOTE) WANAOFANYA USAFI MAOFISINI NI MAKAHABA SANA

FANYA UCHUNGUZI

HATA UKIENDA PALE KONA BAR ASILIMIA KUBWA YA MAKAHABA WANATOKA MAKUNDI HAYA

WAUZAJI MPESA
MAMA NTILIE
WANAWAKE WA KWENYE SALUNI
WAFANYA USAFI MAOFISINI
 
Unachosha wewe aaaarghhhh...ushasema upo dhaifu mbele yake,ushasema ana tabia chafu hajatulia...bado unataka ushaurini ndugu mweee!
 
Naona kijana huna takwimu za nyanda za juu kusini.Siku ukizijua hutakuwa na haja ya kuomba ushauri tena.utakuwa unafanya maamuzi mwenyewe.
 
Nilikutana na mwanamke akiwa kama mpangaji mwenzangu, niliishi kwa muda wa miezi minne,ndipo nikaamua kumtongoza huyo mwanamke yeye akiwa mfanya usafi kwenye mamlaka ya hali ya hewa nyanda za juu kusini nami nikiwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo kimoja huko huko nyanda za juu kusini. Mwanzo wa mahusiano alijitahidi sana kuonyesha upendo wa hali ya juu sana,ila baadae nikaanza kuona gari linapaki na mzee mtu mzima anazama ndani kwa mpenzi wangu na wanadumu ndani masaa yakutosha wkati huo anadhani mie nipo chuoni kumbe nipo mwangu! mwisho wa siku nikamuuliza akaniambia yeye alikuwa wakwanza hivyo nitulie amtafutie sababu amuache, nami nilipenda nikavumilia upuuzi huu lakini nikashuhudia kijana kaingia tena kuuliza nikaambiwa ni ndg, ila siku moja nikawa karibu na huyo kijana nikasikia akimuliza mpangaji mwenzetu mwingine mchumbangu hajambo? yule mpangaji mwenzetu akamuuliza nani ? akamtaja jina mpenzi wangu,kuanzia pale nikakata tamaa nanikaamua kuhama,lkn yeye ameshajua udhaifu wangu ametafuta hadi amepajua ninapo ishi kwa sasa na anakuja kwangu na nina mpenda sana tatizo ni malaya na kwakweli kumuacha inana kuwa ngumu nitumie njia gani wadau niepukehili balaaa?
Subiria upate Supp ,Carry na udisco kwanza then uje tukushauri
 
Endelea tu hadi siku kimoja kati ya hivi vikitokea ndo umuache!
(1) Siku ukipima ukajikuta una virus vya Ukimwi.

(2) Siku ambayo mmoja wa wapenzi wake BAUNSA mwenye wivu akikukuta naye akutoe jicho moja au akuitie mwizi au mgoni upigwe na wenye hasira angalau kiasi cha kukukata sikio.
Asante..umenisaidia kujibu mkuu.
 
mtimizie mahitaji yake yote na mueleze nia yako ya kumuoa hapo atatulia na atabaki mwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom