Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
UKIMWI bado upo na unaua sana. Usifarijike na ARV..
ARVS zenyewe za misaada na Magu keshabugi.
UKIMWI bado upo na unaua sana. Usifarijike na ARV..
Asihangaike sana huko kwa walao pesa za watu. Njoo kwa Yesu ndo jibu toshaaaa.Amekulisha limbwata mkuu.Tafuta mganga wa kienjeji atengue sumu ya limbwata.
Subiria upate Supp ,Carry na udisco kwanza then uje tukushauriNilikutana na mwanamke akiwa kama mpangaji mwenzangu, niliishi kwa muda wa miezi minne,ndipo nikaamua kumtongoza huyo mwanamke yeye akiwa mfanya usafi kwenye mamlaka ya hali ya hewa nyanda za juu kusini nami nikiwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo kimoja huko huko nyanda za juu kusini. Mwanzo wa mahusiano alijitahidi sana kuonyesha upendo wa hali ya juu sana,ila baadae nikaanza kuona gari linapaki na mzee mtu mzima anazama ndani kwa mpenzi wangu na wanadumu ndani masaa yakutosha wkati huo anadhani mie nipo chuoni kumbe nipo mwangu! mwisho wa siku nikamuuliza akaniambia yeye alikuwa wakwanza hivyo nitulie amtafutie sababu amuache, nami nilipenda nikavumilia upuuzi huu lakini nikashuhudia kijana kaingia tena kuuliza nikaambiwa ni ndg, ila siku moja nikawa karibu na huyo kijana nikasikia akimuliza mpangaji mwenzetu mwingine mchumbangu hajambo? yule mpangaji mwenzetu akamuuliza nani ? akamtaja jina mpenzi wangu,kuanzia pale nikakata tamaa nanikaamua kuhama,lkn yeye ameshajua udhaifu wangu ametafuta hadi amepajua ninapo ishi kwa sasa na anakuja kwangu na nina mpenda sana tatizo ni malaya na kwakweli kumuacha inana kuwa ngumu nitumie njia gani wadau niepukehili balaaa?
Asante..umenisaidia kujibu mkuu.Endelea tu hadi siku kimoja kati ya hivi vikitokea ndo umuache!
(1) Siku ukipima ukajikuta una virus vya Ukimwi.
(2) Siku ambayo mmoja wa wapenzi wake BAUNSA mwenye wivu akikukuta naye akutoe jicho moja au akuitie mwizi au mgoni upigwe na wenye hasira angalau kiasi cha kukukata sikio.
Mkuu umeshafika Kigoma? Haujatupa mrejesho mkuuNi PM mkuu Mim Ni Mshaur Mzoefu Wa Masuhala Ya Mahusiano.