Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,748
- 47,330
Mnakosea sana kuzalisha na kutelekeza watoto, mwanaume ni vyema ukawatunza watoto wako wawe wa nje au wa ndani maana watoto hawana hatia katika maugomvi ya wazazi, endeleni kujaza watoto mitaani wanaoishi kwa shida na tabu kwa kukosa malezi na mahitaji ilihali baba ana uwezohuyo mpige block tu