Nilimpa mtaji mzazi mwenzangu ili asinisumbie kulea mtoto ila sasa kaanza kuomba hela ya matumizi tena

Iko hvi nakupa ushauri

1. Mkatie bima mwanao,

2. Mpatie kila mwisho wa mwez 50,000-70,000 isizidi hapo

3. Andikishana nae kuwa unampa hyo pesa.

4. Mnunulie simu nzuri!

5. Kila baada ya miezi 3 nunua nguo pair 3-6 mpelekee mwanao, viatu ,mafuta ya kupaka

6. Usimpe mtaji wowte km hujampa namna nzuri ya kutumia mtaji huo.

Pole sana

Ila wanawake wengi wanatumia mtoto km fimbo ya kukuchapia
Mkuu sawa lakin hapo kwenye simu nzuri hapana maana saiv atakuwa ni demu wa MTU tumeachana zaman Sana hata kabla Sina familia
 
Kisheria unatakiwa uwekwe hata ndani, maana mnazalisha kizazi mnachoshindwa kukihudumia mnaleta majambazi, maana yake usipo mpa mtoto mahitaji anakua teja na omba omba in the end anakua jamabazi, muwe mnawajibika kutunza watoto wenu kama mnavyowajibika kukata viuno kwenye kumtafuta
Umepanic Sana mkuu rudia kusoma mada kwanza
 
Yani eti nimempa mtaji ili asinisumbue!

Ila kuna watu sijui hata hao wanawake wanaowazalia watoto wanakuwa wameona nn zaiid ya majina yenu ya kiume.
 
Habari za mchana WanaJF,

Nilikuwa naomba ushauri nini sahihi cha kufanya maana miezi kama mitatu imepita mzazi mwenzangu alikuwa anaomba pesa ya matumizi ya mtoto mfululizo mara mtoto anaumwa kwa wiki mara 3.

Kwanza kabla ya hapo mtoto alikuwa anaumwa mara kwa mara nikahisi ananipiga pesa tu nikaacha kutuma pesa kuna doctor mmoja ni rafiki wa baba yangu so nikaongea na doctor.

Halafu nikamwambia mzazi mwenzangu mtoto akiumwa asinipigie simu ampeleke tu moja kwa moja hospital na achukue dawa hapo hapo lakini kuanzia hapo mtoto akapona hakuwa anaumwa tena.

Sasa leo kama miezi mitatu imepita baada ya kukubaliana nimpe mtaji ili asinisumbie kulea mtoto ila sasa naona kaanza kuomba hela kwa kasi ya ajabu.

Leo asubuhi kanitumia sms asubuh anataka hela ukwel nilipanic nikamporomoshea matusi makali lakini nimekaa sijui nifanye nini.

USHAURI WENU NINI NIFANYE KUFUTA TATIZO HILI.

ASANTE
Wanawake wachache wenye uwezo wa kutunza mitaji. Fungua biashara simamia mwenyewe mwekewe kiwango cha kuchukua kama matumizi kwa wiki au mwezi
 
Wanawake wachache wanawaharibia wanawake wengine wote!

Ila kwa ushauri usikae ukawa unamjibu kwa kauli kali (matusi) mama wa mwanao mkuu!
Halafu kwanza huyo mtoto ana miaka mingapi sasa?
 
Back
Top Bottom