ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,561
- 44,754
Zamani kipindi nimepigika nilikuwa kutwa kulalamika jinsi Serikali imetubania ajira na jinsi mademu zetu wanavyotuomba hela wakati utamu tunapata wote nikawaga VIP wa chaputa.ila baada ya kushika pesa na kushauriwa na ndugu yangu Darmian nisiwe mbahili kama kweli nataka tobo nikaufanyia kazi ushauri wake.aisee kweli bhana hio mbinu kumbe inafanya kazi kwa asilimia zote..maneno mengi ya Nini wewe weka dau lako bila kuhonga utachokwa mapema sana. Evelyn Salt kuanzia sasa nakuunga mkono tuwapeni hela mtupe nyama hio tuchetuke kidogo.Jamani mdogo wenu Niko makini nawaahidi nitatumia mpira kwa kila tendo sitaki habari za kuambiwa sijui mimba nilee mtoto sitaki hizo.sitaki majukumu yoyote naona tu raha ndani ya sofa kwa chini iwepo pesa 200000,ukienda kwenye mto hukosi 170000..m pesa 310000,,halopesa 100000....NMB 600000 Raha sana.prostate cancer byebye.