Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,711
- 2,494
Daah nakutamani sana mwanangu mm bado nipo kwenye lindi la umasikini ingawa siku nikitoka bata yangu ni kula vizuri kile nitakachotaka kwa muda huo na si mademu. Mademu nawapiga kama kawaida ingawa sina kitu.Nishateseka sana.acha Nile maisha kdg kaka nikitoboa 35 ndo sasa nianze kuwa na wasiwasi Ila kwaneema nitajenga ndani ya miaka mitatu