Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,702
Hivi hii mitandao hata Balozi wa Marekani naye hawezi kutweet? Musiba je?
Uko mkoa gani ili kesho tunywe kinywaji ukitakacho na kula at my cost? Waambie hao book jero wanasumbua hapa Mkuu. Wavivu kufikiri sana hawa. Ushindi wao wa mabavu tu. Yaani wana hofu kubwakesi ya mtikila ya 2011 alitumia mawakili kutoka ivory coast na akashinda....
Ni yeye kibaraka!Kwa kuwa inajulikana ushindi CCM 2010, 2015 ilikuwa ni mashaka basi alijua 2020 ndiyo tatizo zaidi. Na amejiandaa kisheria na ni haki yake. Katiba ya nchi haimzuii. Na agenda kubwa kwake kwa sasa ni Uchaguzi na ndiyo mwanasheria atatumika kwa agenda iliyopo jikoni. Iwe fair game tu na alisema hana shida.
Kamamnajiamini ni kwa nini nguvu zote hizo?
Mungu ametuletea Mkombozi. Leo mara ya kwanza kwenye huu Uzi natamka "NiYeye2020". Lissu amekuja kuturejeshea uhuru na haki zetu.
Ana uhuru wa kumtumia mtu yoyote yule. Ni haki yakeNi yeye kibaraka!
Lisu hajui siasa ni mwanaharakati ndio maana kupanda jukwani na kina Ponda ambae vyombo vga usalama vinamlia darubini 24 hours yeye haoni shida.
Kumtumia Amsterdam raia wa kigeni kumsemea juu ya mambo ya uchaguzi wa nchi ambayo siyo yake haoni shida.
Kwenda Zanzibar na kusema chadma haina maslahi na Zanzibar haoni shida. Kisha anataka awe rais wa mungano na anategemea vyombo vya usalama vimpe sapot.
Bure kabisa.
Ukiweza kwa muda wako, zifuatilie nchi zilizotengwa na hao mabeberu kwa kipndi fulan, ujue walipita kweny hali gani.Usichokielewa ni kwamba hao hawaleti hela bila wao kupata returns!
Sasa wewe umekalilishwa na Lisu kwamba tz bila wazungu hatuwezi kuishi. Kauli kama hii inatoka kwa mgombea urais ni uzwazwa huu?
Kama ana VPN anamwemwereka tuHivi hii mitandao hata Balozi wa Marekani naye hawezi kutweet? Musiba je?
Ndio tunataka tutoke huko ili nasisi tuwe tunawatunishia misuli kwamba tukiwawekea vikwazo wawe kama Zimbabwe. Sasa Lisu yeye anataka tuendelee kuwaabudu tuUkiweza kwa muda wako, zifuatilie nchi zilizotengwa na hao mabeberu kwa kipndi fulan, ujue walipita kweny hali gani.
Yawekana unachojua ni kula na kulala tu.
Kwako watu wakila wakalala wakaamka wakala na wakalala bas unaona maisha yameishia hapo.
Nidanganye kuwa mnaweza alafu kesho fungua redio usikie mmepokea mkopo wa $300mil
Ndio inamkosti sasa hapati uraisAna uhuru wa kumtumia mtu yoyote yule. Ni haki yake
Wewe ni fisi kama tu chama chako kilivyo hujui wengine mitandao ndio ofisi zetuHii yote ni kuzuia wapumbavu wachache kusambaza propaganda za kizushi! Watanzania linapokuja suala la uzushi mitandaoni tuko vizuri sana!
Sasa katika kipindi hiki cha kumzuia Amsterdam ni muhimu sana kuzuia wajinga wasilete ngebe mitandaoni
IDEGENDA nadhani hujawahi kujua ugumu wa maisha walopitia watu wa Zimbabwe na hata leo hujui wana hali gani kiuchumi.Ndio tunataka tutoke huko ili nasisi tuwe tunawatunishia misuli kwamba tukiwawekea vikwazo wawe kama Zimbabwe. Sasa Lisu yeye anataka tuendelee kuwaabudu tu
Na vile watanzania hawapendi dharau sasa😁 hakuna kitu tundu alichemka kama kuwaonyesha watanzania kwamba uzungu ni bora kuliko uswahili.Ndio inamkosti sasa hapati urais
Sa hiyo inakufanyaje unaogopa??Upumbavu kama huu ndio maana selikali inazima mitandao.
Yani uharo kama huu na wewe unabeba kama ulivyo na kuuleta humu?
Hoja dhaifu. Lissu alitushtua na tunampenda tutampigiaNa vile watanzania hawapendi dharau sasa😁 hakuna kitu tundu alichemka kama kuwaonyesha watanzania kwamba uzungu ni bora kuliko uswahili.
Watam surprised sana kwenye sanduku la kura kesho
Kweli wahenga walisema mcheza kwao hutuzwa
Mlikosea nyinyi mliompa, sikumpa, na hata kesho simpi hata kwa bunduki.Magufuli hafai kuwa raisi na tulikosea kumpa urais
Wanatia huruma. Hizo wanazotengeneza kesho hawapati pa kuzipitishaHawa wajinga wanahangaika mpaka nawahurumia, najua wana-fight kulinda ajira zao, CCM hawawezi kushinda kwa kuiba kura, wakijaribu wajiandae kwa machafuko.
Kigogo anafanya vizuri sana kuwaumbua hawa mashetani.
daah umemjibu vizuri khaahKwa hakika anatosha, tuseme anatosha kutesa raia