LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Hili jambo lilishafahamika kitambo, unampaje JPM kura kwa style hii?
Unaumizwa na hili ila unajitia upumbavu tu. Hufurahii hata kidogo, nauhakika.Hii yote ni kuzuia wapumbavu wachache kusambaza propaganda za kizushi! Watanzania linapokuja suala la uzushi mitandaoni tuko vizuri sana!
Sasa katika kipindi hiki cha kumzuia Amsterdam ni muhimu sana kuzuia wajinga wasilete ngebe mitandaoni
Shukrani sana kwa ufafanuzi mzuri,Mmiliki wa JF yupo hapahapa, hawezi kukubali kufunga wala kukataa kutofunga bila sababu za msingi.
Ameamua kuwanyima access kwa sababu hawana sababu za msingi
Ulitaka upelekwe Malawi? Ili nani ajuzwe huko?Upumbavu kama huu ndio maana selikali inazima mitandao.
Yani uharo kama huu na wewe unabeba kama ulivyo na kuuleta humu?
Voda na tigo ni hoi kabisaHivi ni mitandao yote au baadhi?
Vile vile Sheikh Ponda Issa Ponda aendelea kuandamwa na Mashehe wenye kuugua Stockholm Sydrome Mashehe wenye kupewa Ubwabwa na Makonda ili kuiuza kamili yao
Nasuburi nione mkikinukisha!Hawa wajinga wanahanhaika mpaka nawahurumia, CCM hawawezi kushinda kwa kuiba kura, wakijaribu wajiandae kwa machafuko.
Unataka umpe kwa style gani? Kifo Cha mende au..?Hili jambo lilishafahamika kitambo, unampaje jpm kura kwa style hii?
Ni haki yako kuwa mwanaCCM, lakini inatia shaka utimamu wa akili yako kuona unashabikia kuzimwa social media!! Na unajihisi wewe ni nguvu kazi!! Ajabu kabisaNasuburi nione mkikinukisha!
Hivi kwa akili zenu mnadhani huyo kibaraka wenu ana kura za kuibwa?
Mtu anaetazamiwa kupata 20% anaibiwa kitu gani?
Melo server yake iko USA, halafu pia wamejaribu kuuzima lkn wameshindwa,labda wacancel google ndio watafanikiwa kuizima JF.Shukrani sana kwa ufafanuzi mzuri,
Hongera sana kwa Max Melo.
Melo wanammudu! Akijaribu na wameongea nae kwa kina kwamba asiruhusu mtandao wake uwe sehemu ya kueneza propaganda. Ndio maana ukiposti ujinga unakula ban na ujinga wako unafutwa.Mmiliki wa JF yupo hapahapa, hawezi kukubali kufunga wala kukataa kutofunga bila sababu za msingi.
Ameamua kuwanyima access kwa sababu hawana sababu za msingi