mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
Aiseeehhh
mimi nilikuwa na wa kwangu kila wikendi alikuwa lazima aniage anaenda kwa wazazi wake. siku moja nikaamua kwenda kwa wazazi wake by surprise nikamkuta yuko na ex wake wanakula goodtime nilichoka.
hayajakuuma vizuri wewe hadi una hamu ya kupata dinner kabisa hahahaaaa
Labda imebidi alale nae.Njoo malizia story yako mkuu
"Your dreaming "na nyie wanaume mmezidi ubahili na ubabe.wanaume wengine hata kumnunulia mpenzi wako hata zawadi huwezi, kila kitu ubabe, hujui kubembeleza , kila kitu usikilizwe wewe agrrrr ngoja tu mdanganywe bwana.ila mapenzi yanauma jaman bora mie nimeamua moja kumpenda mungu.mume wangu yesu tu basi.
na nyie wanaume mmezidi ubahili na ubabe.wanaume wengine hata kumnunulia mpenzi wako hata zawadi huwezi, kila kitu ubabe, hujui kubembeleza , kila kitu usikilizwe wewe agrrrr ngoja tu mdanganywe bwana.ila mapenzi yanauma jaman bora mie nimeamua moja kumpenda mungu.mume wangu yesu tu basi.
na nyie wanaume mmezidi ubahili na ubabe.wanaume wengine hata kumnunulia mpenzi wako hata zawadi huwezi, kila kitu ubabe, hujui kubembeleza , kila kitu usikilizwe wewe agrrrr ngoja tu mdanganywe bwana.ila mapenzi yanauma jaman bora mie nimeamua moja kumpenda mungu.mume wangu yesu tu basi.
Hiyo dinner haiishi