Nilikuwa naikubali Israel kwenye cyber security, kumbe wachovu tu mbele ya Iran

Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
Teh teh teh 🤣🤣🤣...hii comment imenifurahisha aisee...haaa haaa 😃😃..
 
Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
Atakutana na mafaili ya akina kigogo tu. Tanzania haina siri sensitive kivile zilizo kwenye mifumo ya computer. Hata njiti za kibiriti tunanunua, siri labda za mipango ya akina Mahela.
 
Waarab walishaungana wote kumpiga Israel lakini wakashindwa, anajua tabia za waarab zilivyo ndio maana kanuni ni uwe rafiki yake au uwe adui. Kwenye hivi vita Israel aliteka Golan Heights za Syria, Syria bado hajakubali na amekuwa akitafuta namna ya kuzirudisha.
Kuhusu uwezo wa Iran ni overrated, kupiga makambi ya marekani haikuwa kipimo sahihi. Katika hali ya kawaida, ukimtendea mtu jambo baya (hata mtoto mdogo) lazima achukie na ikiwezekana alipe kisasi.
Marekani kumuua Qasim Suleiman ilijua wazi Iran italipiza kisasi ndio maana USA walivumilia vitendo hivyo.
Wiki iliyopita Iran ilikuwa inaadhimisha mwaka 1 tangu kuuliwa kwa Qasim na vyanzo vya habari vilionyesha Iran itashambulia tena kambi za Marekani.
Wakati huu Marekani hakutaka utani, katuma B52 mbili na Aircraft carrier moja, Iran katulia, alichokifanya ni waziri wake wa mambo ya nje Jawad Zariff kulalamika kwa nini marekani inaleta ndege ghali za vita eneo hilo.
Pili kuhusu Iran na Israel hawa ni wababe wawili, lolote laweza tokea hasa ukizingatia Israel ana mabomu ya nuclear iliyo tayari kufanya kazi.
Iran isingeweza kwenda kupiga tena kambi za US, wauaji waliomuua Fakhrizadeh hawajajisema ila ilibaki Iran kuinyooshea kidole Israel, sasa iweje Israel afanye tukio Iran akapige kambi za USA.
B-52 na hio carrier ni warning kwa Iran isiguse allies wa USA kama Israel, Saudia n.k.

Kisasi cha Iran kwa watuhumiwa hakijulikani hapo tusubiri.

B-52 zipatazo 30 ziliteremshwa kwenye ile vita ya Vietnam, USA kurusha hizo B-52 mbili ni onyo tu kwa Iran lakini ukweli ni kwamba kwa hizi nyakati USA haihitaji vita, wanajua vyema hawawezi kuizuia Iran kulipa kisasi.
 
Hata burundi wanacho hichi kitengo kwa upande wa Tz kipo tena wanachukua mafunzo urusi china, Malaysia na nchi moja yenye vikwazo lukuki(classmate wangu mmoja yupo huko)

PK anaonekana yupo mbele kwa sababu anajitangaza huwezi amini nawajua kwa sura majina na namba zao za simu majasusi zaidi ya kumi wa Rwanda ambao wapo urusi wanasomea haya madude
Hii michezo naipenda sana nasikia Kagame Kaunda kikosi kazi cha kucheza hii michezo anasubiri siku akichokozwa alianzishe sijui kama tutamuweza sisi ambao hata website ya brela haifanyi kazi kwenye baadhi ya web browser
 
Back
Top Bottom