Nilikabwa nikanyang'anywa simu ya android, nawezaje kuipata??

makelejasix

Member
May 18, 2017
11
7
Siku jumamosi nilikabwa nikanyang'anywa simu yangu bahati nzuri nikafanikiwa kubaki na mmoja wa hao watu wakabaji.kwa sasa Mimi ninajiuliza nitaipataje maana hata aliyekamatwa kagoma kutoa ushirikiano anaweza akafungwa na simu yangu ya android nisiipate.imei namba yake ninayo.nilijaribu kuiserch google map imezimwa siku tano zilizopita.baadae imegoma hata kuonyesha
c49833d54887d293297cf86c30e43ef4.jpg
 
Back
Top Bottom