Niliiona hii laana ikiingia nchini

Niliiona hii laana ikiingia nchini

SUV

Mit 31
Mafundisho ya Mama wa Mfalme Lemueli
1Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.
2Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu?
Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Usiwape wanawake nguvu zako;
Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.
4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme;
Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria,
Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;
Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7Anywe akausahau umaskini wake;
Asiikumbuke tena taabu yake
kabisaaa.. Na lile jingine wanasema wapeni maskini mvinyo walewe wasahau shida zao
 
SUV

Mit 31
Mafundisho ya Mama wa Mfalme Lemueli
1Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.
2Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu?
Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Usiwape wanawake nguvu zako;
Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.
4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme;
Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria,
Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;
Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7Anywe akausahau umaskini wake;
Asiikumbuke tena taabu yake
Amen, Tusisahau kunywa pombe, maana taifa letu limesha potea
 
Kuna Prof mmoja namfahamu katafuna watoto wake wote wa kike tena yeye ndio anawatoa sealed kabisa,na ilivyo bahati mbaya kajaliwa watoto wote 5 wa kike. Watoto mpaka wanafika chuo kikuu anatafuna na wote wanajuana wanaliwa na baba yao. Hapo ndio baadae unakuja kuoa mke wa namna hiyo ataona ugumu wa kulala na mtoto wake wa kiume kweli. Natafuta Ajira
 
Kuna Prof mmoja namfahamu katafuna watoto wake wote wa kike tena yeye ndio anawatoa sealed kabisa,na ilivyo bahati mbaya kajaliwa watoto wote 5 wa kike. Watoto mpaka wanafika chuo kikuu anatafuna na wote wanajuana wanaliwa na baba yao. Hapo ndio baadae unakuja kuoa mke wa namna hiyo ataona ugumu wa kulala na mtoto wake wa kiume kweli. Natafuta Ajira
Mama yao yupo hai? Anaishi nao?
 
Umewaza kwa mapana zaidi.
Lakini kuna kitu kingine ambacho pia kinachangia.
Utandawazi,uvivu wa vijana wa sasa kuyakimbia mashamba na kuja kujazana mijini mbona wazee wa zamani waliishi mashambani na maisha yaliendelea hakuna mtu aliyelalamika kuhusu mambo ajira serikalini au taasisi binafsi.
Hakuna mtu alilalamika kuwa fursa zinabanwa serikalini na watu walikuwa na furaha tu.
Mifumo ya kujiingizia kipato ilegezwe, soko liwe huru, ushindaji wenye tija, mikopo iwepo pasipo upendeleo, mfumo wa elimu ubadilishwe, sera zuri za kiuchumi kiundwe, uwezeshwani wa viwanda vidogo na bidhaa bunifu bila masharti, uwepo wa wanasaikolojia ngazi ya kata, kupumguza au kutokomeza waganga haramu wakienyeji, kutumia madini na rasilimali za nchi kuimarisha shilingi ili kuipa thamani na kupumguza mfumuko wa bei, rai kuchukulia kama binadamu na sio watu...

Nadhani tukifanya hayo hii nchi itakua na watu werevu, wachapa kazi, wawajibikaji, wenye upendo, wenyekipato kidhi na zaidi, WENYEFURAHA, wenyemawazo chanya, watii, wanaopenda wenza na WENYEKUPENDA MAISHA. Tusiona watu wanauwana, tunazungukia mbaaaaali tunaimba nyimbo za laana mara sijui utajiri wa waganga BIG NO.

Turudi kwenye misingi tuloiacha hapo juu, tuache uchawa na kusikiliza mawazo ya watu ndo yatumike kuendesha maisha. Happ ndo tunafeli zaidi, hapo tu.

Tusaidiane kuwa na maisha mazuri kijamii, kiuchumi na kisaikolojia. Ndo maana yangu kwa ufupi. Laana haina nafasi hapa.

M.B..... Tusisahau kunywa pombe.
 
Sasa hivi haya mambo yamekuwa ni ya Kawaida kiasi kwamba watu wakiyasikia hawastuki sana

Haya mambo yalianza miaka ya 90.. Uumbaji ulipoanza kunajisiwa kwa kasi ya aina yake

Wababa kutembea na mabinti zao mpaka wengine kuwapa ujauzito na kuzaa nao ama kufanya abortion
Wamama kuingia kwenye mahusiano na watoto wao wa kiume mpaka kufikia kufunga nao ndoa

Mabinti kugombana na mama zao kwa ajili ya mahusiano na baba zao

Matokeo yake wazazi wakaanza kuwalaani watoto wao na laana hizo ndio zimezaa mauaji mengi ya wazazi wanaouliwa na watoto wao wa kuwazaa

Iwe kwasababu za kishirikina, utajiri, umaarufu urithi nk.. Lakini haya mambo yana asili yake
Haya yanayotokea sasa ya wanandoa kuuana kwa sababu ya mali ama wazazi kuwaua watoto wao hasa wadogo kwa ajili ya mali si mambo ambayo hayana asili ama yametokea bila chanzo

Ni laana kubwa kwa wazazi kuingia kwenye mahusiano ya kingono na watoto wao wa kuwazaa
Ni laana kwa watoto wa tumbo moja kuingia kwenye mahusiano ya kingono

Haya mahusiano huwa na nguvu sana lakini pia huwa na matokeo hasi makubwa sana
Hizi laana za kingono kati ya ndugu wa damu zina athari mpaka kwenye ardhi na vizalia vinavyofuata!
Nashauri wanaofanya hivyo wanyongwe mpaka kufa live kwenye TV
 
Haya yote yanawezekana baada ya kupata viongozi wazalendo.

Na hatuwezi kupata viongozi wazalendo bila katiba mpya inayowaongoza na kuwabana
Mifumo ya kujiingizia kipato ilegezwe, soko liwe huru, ushindaji wenye tija, mikopo iwepo pasipo upendeleo, mfumo wa elimu ubadilishwe, sera zuri za kiuchumi kiundwe, uwezeshwani wa viwanda vidogo na bidhaa bunifu bila masharti, uwepo wa wanasaikolojia ngazi ya kata, kupumguza au kutokomeza waganga haramu wakienyeji, kutumia madini na rasilimali za nchi kuimarisha shilingi ili kuipa thamani na kupumguza mfumuko wa bei, rai kuchukulia kama binadamu na sio watu...

Nadhani tukifanya hayo hii nchi itakua na watu werevu, wachapa kazi, wawajibikaji, wenye upendo, wenyekipato kidhi na zaidi, WENYEFURAHA, wenyemawazo chanya, watii, wanaopenda wenza na WENYEKUPENDA MAISHA. Tusiona watu wanauwana, tunazungukia mbaaaaali tunaimba nyimbo za laana mara sijui utajiri wa waganga BIG NO.

Turudi kwenye misingi tuloiacha hapo juu, tuache uchawa na kusikiliza mawazo ya watu ndo yatumike kuendesha maisha. Happ ndo tunafeli zaidi, hapo tu.

Tusaidiane kuwa na maisha mazuri kijamii, kiuchumi na kisaikolojia. Ndo maana yangu kwa ufupi. Laana haina nafasi hapa.

M.B..... Tusisahau kunywa pombe
 
Back
Top Bottom