Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

Nadhani huwa wanaenda kuziuza tena in short mali za marehemu waliokufa ghafla kwa ajali kudondoka ghafla etc huwa wanazuia wahudumu wa mochwari.

Vitu kama saa,cheni hereni pete jamaa wanabeba.binamu yangu alifariki ndani kwake mwaka 2006 alikuwa amevaa saa yake Seiko 5 ya gold toka anatolewa mule ndani kuwekwa kwenye gari ya polisi mpaka pale Muhimbili alikuwa nayo ila siku tunakabidhiwa mwili wakatupa nguo zake peke yake
 
Okay, hata hivyo kuna haja watengenishe maeneo

Mbona vyoo vimetanganishwa Ke/Me hata kama hospitali ni ndogo

Kuna sehemu huwa tunajisahau kama Watanzania, tunaweza kupanga kujenga na kumiliki nyumba mikoa 26 ya Tanzania bara, lakini ukasahau kujiandalia eneo ili ukifa basi utazikwa humo, na hata watoto na wajukuu ikawa hivyo

Jambo dogo la eneo la kuoshea maiti, halizidi milioni 15 ukisema ujenge kwa kufata standards za Serikali, wakati mwingine ni uzembe tu
Sahihi
 
NAjua akili zako zilienda mbali hadi ukadindisha mochwali, hadi kufikia kuandika humu umewaza vitu vingi ambavyo hujaandika🤣🤣
Mkuu mimi semu mwenye shanga huwa sina stimu naye. Naweza kunyandua huku napiga guitar? Unakuta demu ana shanga kitovuni hadi kiunoni sasa hii si uchafu? Lazima nimwambie akayavue huko
 
Mara nyingi ipo ivyo ww ulivyokuja duniani ulikuja na kitu kwaiyo unatakiwa kuondoka kama ulivyokuja mara nyingi kwa waislamu hadi nywele kama kasuka huwa wanamnyoa awe men au woman ila ndugu ndo husika kwa ilo
Oooh kwahiyo kuna uwezekano kuwa waliovulishwa hizo shanga ni waumini wa kiislamu?
 
Nadhani huwa wanaenda kuziuza tena in short mali za marehemu waliokufa ghafla kwa ajali kudondoka ghafla etc huwa wanazuia wahudumu wa mochwari.

Vitu kama saa,cheni hereni pete jamaa wanabeba.binamu yangu alifariki ndani kwake mwaka 2006 alikuwa amevaa saa yake Seiko 5 ya gold toka anatolewa mule ndani kuwekwa kwenye gari ya polisi mpaka pale Muhimbili alikuwa nayo ila siku tunakabidhiwa mwili wakatupa nguo zake peke yake
Nadhani hizo saa nk wanavua na kificha sasa shanga zile zilikuwa wazi tu. Ni ngumu tu kurudi mochwari bila kesi ya kufiwa ingekuwa sehemu ya kawaida ningeenda kuangalia bado zipo kisha niulize.
 
Back
Top Bottom