Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,249
Reaction score
24,079
Bado sijawahi kupata jibu na Kwa vile nilikuwa na majonzi moyoni sikuweza kuuliza kuwa kwanini huwa wanawavua maiti shanga zao?

Ndg wahudumu wa mochwari naombeni mnipe majawabu mwenzenu.

Ilikuwa mwaka 2024 nilifiwa na shemeji yangu wa kiume hivyo Mimi na wengine kama 7 tulipewa jukumu la kwenda kuuandaa mwili wa marehemu kwa ajiri ya misa na mazishi.

Baada ya kufika pale Mimi kama mkwilima ndo ilibidi nibebe majukumu yote ya pale ikiwa ni pamoja na kulipa garama zote za wahudumu sanda nk.

Tukiwa tunamuosha marehemu kwa pembeni niliona burugutu la shanga nyingi za kila size rangi na aina!

(Ieleweke kuwa sehemu ya kuoshea maiti ni sehemu tu yaani ke na me wote wanaoshewa mahali pamoja siyo kwamba marehemu/maiti yetu ndo ilikuwa na shanga la hasha)

Zipo zile za kienyeji na hizi za kisasa..yaani shaba,zahabu plastic nk.

Najiuliza ni kosa maiti kuzikwa na shanga zake? Kama sivyo kwanini wanawavua maiti na shanga zao?

Karibuni
 
Pamoja na Uzee huu nilionao, nahisi natakiwa kuendelea kujifunza...

Shanga, kwa maiti ya kiume ama sijaelewa

Nilidhani kungekuwa na sehemu mbili za kuoshea maiti za kiume na kike, kwa maelezo yako ni kama maiti zote zinaoshwa sehemu moja bila kujali jinsia
 
Pamoja na Uzee huu nilionao, nahisi natakiwa kuendelea kujifunza...

Shanga, kwa maiti ya kiume ama sijaelewa

Nilidhani kungekuwa na sehemu mbili za kuoshea maiti za kiume na kike, kwa maelezo yako ni kama maiti zote zinaoshwa sehemu moja bila kujali jinsia
Nadhani kwa sababu ya hospital Ile si kubwa mkuu sehemu ya kuoshea ni Moja tu. Maana sisi kipindi tunafika tulisubiri wengine wamalize kuandaa maiti Yao Kisha nasi tukafatia yule tuliyemkuta alikuwa wa kike!
 
Ninavyojua marehemu havuliwi chochote wala kuchukuliwa chochote bila wahusika kujulishwa.
Na pale mochwari reception utapokelewa na mtasaidiana na muhudumu kuingiza maiti kwenye jokofu sasa kama Kuna cha ku mvua marehemu au kutoa basi utafanya hivyo ndugu wa marehemu.
Hivyo labda ni za wale maiti ambao hawakutambuliwa wakazikwa na serikali.
 
Ninavyojua marehemu havuliwi chochote wala kuchukuliwa chochote bila wahusika kujulishwa.
Na pale mochwari reception utapokelewa na mtasaidiana na muhudumu kuingiza maiti kwenye jokofu sasa kama Kuna cha ku mvua marehemu au kutoa basi utafanya hivyo ndugu wa marehemu.
Hivyo labda ni za wale maiti ambao hawakutambuliwa wakazikwa na serikali.
Mimi pia najua hivyo hata sisi vitu vyoote vya marehemu tulipewa na Kisha tukaweka chini ya jeneza akavilalia.

Lakini zikiwa za watu wasiofahamika ndo shanga zirundikwe ?
 
Nadhani kwa sababu ya hospital Ile si kubwa mkuu sehemu ya kuoshea ni Moja tu. Maana sisi kipindi tunafika tulisubiri wengine wamalize kuandaa maiti Yao Kisha nasi tukafatia yule tuliyemkuta alikuwa wa kike!
Okay, hata hivyo kuna haja watengenishe maeneo

Mbona vyoo vimetanganishwa Ke/Me hata kama hospitali ni ndogo

Kuna sehemu huwa tunajisahau kama Watanzania, tunaweza kupanga kujenga na kumiliki nyumba mikoa 26 ya Tanzania bara, lakini ukasahau kujiandalia eneo ili ukifa basi utazikwa humo, na hata watoto na wajukuu ikawa hivyo

Jambo dogo la eneo la kuoshea maiti, halizidi milioni 15 ukisema ujenge kwa kufata standards za Serikali, wakati mwingine ni uzembe tu
 
Bado sijawahi kupata jibu na Kwa vile nilikuwa na majonzi moyoni sikuweza kuuliza kuwa kwanini huwa wanawavua maiti shanga zao?

Ndg wahudumu wa mochwari naombeni mnipe majawabu mwenzenu.

Ilikuwa mwaka 2024 nilifiwa na shemeji yangu wa kiume hivyo Mimi na wengine kama 7 tulipewa jukumu la kwenda kuuandaa mwili wa marehemu kwa ajiri ya misa na mazishi.

Baada ya kufika pale Mimi kama mkwilima ndo ilibidi nibebe majukumu yote ya pale ikiwa ni pamoja na kulipa garama zote za wahudumu sanda nk.

Tukiwa tunamuosha marehemu kwa pembeni niliona burugutu la shanga nyingi za kila size rangi na aina!

(Ieleweke kuwa sehemu ya kuoshea maiti ni sehemu tu yaani ke na me wote wanaoshewa mahali pamoja siyo kwamba marehemu/maiti yetu ndo ilikuwa na shanga la hasha)

Zipo zile za kienyeji na hizi za kisasa..yaani shaba,zahabu plastic nk.

Najiuliza ni kosa maiti kuzikwa na shanga zake? Kama sivyo kwanini wanawavua maiti na shanga zao?

Karibuni
Kwani ukizika mwili bila kuosha kuna shida yoyote?
 
NAjua akili zako zilienda mbali hadi ukadindisha mochwali, hadi kufikia kuandika humu umewaza vitu vingi ambavyo hujaandika🤣🤣
 
Mara nyingi ipo ivyo ww ulivyokuja duniani ulikuja na kitu kwaiyo unatakiwa kuondoka kama ulivyokuja mara nyingi kwa waislamu hadi nywele kama kasuka huwa wanamnyoa awe men au woman ila ndugu ndo husika kwa ilo
 
Back
Top Bottom