Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Nilipita sehemu na kupewa flyer ya barber shop moja yenye kutoa huduma zifuatazo:
Classic Barber ShopTunatoa huduma zifuatazo:
Wasiliana nasi kwa namba 0654 948 790
Tupo karibu na hospitali ya ... na duka la vocha la jumla. Karibu upate huduma bora na za uhakika.
My opinion: kwa nini wasiite Unisex salon kwani huduma nyingine ni kwa wanawake au na wale wa Cameron?! Mwanaume unatinda vipi nyusi? mwanaume unaosha vipi nywele jamani?! na mask ndio nini ehe?!!
Classic Barber ShopTunatoa huduma zifuatazo:
- kunyoa mitindo ya aina zote na Easy wave
- scrubbing, mask, kuosha nywele na super black
- kutinda nyusi, ndevu magic na kupamba maharusi wa kiume
Wasiliana nasi kwa namba 0654 948 790
Tupo karibu na hospitali ya ... na duka la vocha la jumla. Karibu upate huduma bora na za uhakika.
My opinion: kwa nini wasiite Unisex salon kwani huduma nyingine ni kwa wanawake au na wale wa Cameron?! Mwanaume unatinda vipi nyusi? mwanaume unaosha vipi nywele jamani?! na mask ndio nini ehe?!!