Akikujibu utanistua nakunywa pombe ya kienyeji hapa bar!!! Tozo zimenichoshaUnajuaje hahangaiki?
Watoto wakike ndo hutunza familia wakiume wakioa hiacha kutunza wazazi waoSubiri utakapo kuwa unaumwa hoi hujiwezi. Hao watoto wa kike ndio wanaweza kuacha mambo yote na kuja kukukaa na wewe. Lakini hao wakiume katu hawawezi