supasonic
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 356
- 307
Hii ni kweli kabisa. Watoto wa kike ndio wana support familia zao hasa wazee wakiwa wagonjwa na kipindi cha uzeeni, japokua wanaweza wasiwe na kipato kikubwa kama cha kaka zao.Watu wanawachukulia poa watoto wa kike lakini kiuhalisia ndio wenye msaada sana kwa familia na wazazi.
Una wa kiume wote?
Upo kama dada yangu..4wote wa kiume.
Ameshakata tamaa ya kupata wa kike na umri umeshamtupa mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app