Nilidisco chuo, naweza kuomba tena mkopo?

Aisee pole sana, kwani Asilimia 25% za mkopo unaodaiwa ni shs ngapi?
Nadaiwa 15M so inabidi nilipe 3750000 ili nipate mkopo mpya nilidhan naweza pewa nikakatwa kwenye boom lakin kumbe huo utaratibu haupo
 
Nadaiwa 15M so inabidi nilipe 3750000 ili nipate mkopo mpya nilidhan naweza pewa nikakatwa kwenye boom lakin kumbe huo utaratibu haupo
Nilijua deni litakuwa around 1-1.5 M nijaribu kukufanyia harambee from friends and my work colleagues . I never imagined a 4 years finance degree nyumbani ni 20M :(Duh, Pole boss, nisamehe bure I had no clue Uni za Tz ni bei ghali hivyo!
 
Ushauri wako mkuu umekua na michango maridhawa sana hapa jukwaani kwa kipindi kifupi nilichokua humu ndani nipo serious na hii issue nimestuck mahali yan nilikua siijui pombe lakini saivi K vant nakunywa hata siskii ukali naona kama maji tuu

Sasa huko kwenye ulevi ndio unaenda kupotea mazima , kufeli chuo sio kufeli maisha! Kwanza kubali kwamba ume disco then maisha yaendelee! Anza mdogo mdogo kutafuta vibarua vidogo vidogo wakati unatafuta msingi mdogo wa biashara! 25% ya HESLB ku clear kwa mtu aliyesoma miaka mi3 ni nyingi sana.
 
Mkuu niliumia sana kitendo hiki hapa ni miezi sita sasa nipo mtaaani kila nikienda kuomba kazi naulizwa vyeti nina cheti cha form six kipo fresh ila ndo hawataki mkuu sasa nafanyaje?

Sina baba sina mama sina urithi wowote yan hua nawaza nipate mtaji lakini kila nikibet wapi nimekua mcheza kamali ili kutafta mtaji lakini nagonga mwamba hebu nisaidie hapa

HATA USIPOHANGAIKA NA CHUO UNGEFANIKIWA TU KAMA UNAPAMBANA KWA AKILI NA UNAZALISHA KINACHOHITAJIKA NA MWAJIRI AU JAMII.

Kwa umri wako kutokuwa na baba wala mama si hoja ya msingi usiitumie, usiwaze kuonewa huruma bali peleka sababu ya msingi ni kwanini ofisi unayotaka kufanya kazi inakuhitaji, kuwa na degree sio guarantee ya kupata kazi.

NOTE: Ukiacha serikalini, hakuna mwajiri atakayekupa kazi kwa sababu nyingine yoyote zaidi ya kuongeza faida/uzalishaji.

Si uyatima, degree, huruma utakaokupa kipato bali uzalishaji unaohitajika na mwajiri au jamii kutoka kwako.
 
HATA USIPOHANGAIKA NA CHUO UNGEFANIKIWA TU KAMA UNAPAMBANA KWA AKILI.

Kwa umri wako kutokuwa na baba wala mama si hoja ya msingi usiitumie, usiwaze kuonewa huruma bali peleka sababu ya msingi ni kwanini ofisi unayotaka kufanya kazi inakuhitaji, kuwa na degree sio guarantee ya kupata kazi.

NOTE: Ukiacha serikalini, hakuna mwajiri atakayekupa kazi kwa sababu nyingine yoyote zaidi ya kuongeza faida/uzalishaji.

Si uyatima, degree, huruma utakaokupa kipato bali uzalishaji wako.
Asante mkuu kwa kutoa muda wako na kuandika somo hili muhimu
 
Nilijua deni litakuwa around 1-1.5 M nijaribu kukufanyia harambee from friends and my work colleagues . I never imagined a 4 years finance degree nyumbani ni 20M :(Duh, Pole boss, nisamehe bure I had no clue Uni za Tz ni bei ghali hivyo!
Hapana mkuu ni hyo gharama kama ungenisaidia kupata capital hata sio 1.5m chini ya hapo ningeshukuru mkuu
 
Nilijua deni litakuwa around 1-1.5 M nijaribu kukufanyia harambee from friends and my work colleagues . I never imagined a 4 years finance degree nyumbani ni 20M :(Duh, Pole boss, nisamehe bure I had no clue Uni za Tz ni bei ghali hivyo!
Mkuu naku Pm sms haziend kuna jambo nataka kushare na wewe nichek mkuu
 
Achana na shule. Mimi nili disko mwaka wa mwisho (3rd yr) na nilikuwa nishafanya pepa zote kasoro moja nilitolewa pepa moja kwa sababu sijalipa ada (nilikuwa na ID ya zamani). Ikawa ndio mwisho wa shule. Nashukuru nilipata kazi bila kuulizwa cheti na nimemaliza kulipa mkopo wangu.

Hata sijuagi kama nianze upya au nikaombe chuo nimalize ile pepa wanipe cheti
 
Back
Top Bottom