Nilidisco chuo, naweza kuomba tena mkopo?

Nilidisco chuo, naweza kuomba tena mkopo?

Mwaka wa tatu mkuu yan nilimfanyia rafiki yangu sapp nikadakwa nilikua nasubiri kutunikiwa honorable degree
Kijana umefanya kosa kubwa sana aisee. Nipo nasikitika sana hapa. Why lakini? Alikuahidi nini huyo mtu? Aiseeee...
 
Daaah! Pole sana mdogo wangu. Poleee sana sana sana. Umefanya kosa kubwa sana ambalo litakugharimu maisha yako yote.

Sheria za university ni kali & zipo wazi kabisa, usingeweza salimika kwa namna yoyote Ile.
Kama wataku-report TCU baasi utapigwa ban ya 3 years.

Aisee ulifanya kosa kubwa sana. Sina ushauri zaidi ya kukutakia maisha mema maana yote haya umeyataka mwenyewe Ingali sheria unazifahamu.
Tatizo hatusomagi prospectus tukiwa tunaingia mwaka wa kwanza nilikuja kuisoma yote na ikakaa kichwani kwa muda wa wiki moja ili nikiitwa baraza la senate niwe na hoja za kujidefend ila haikusaidia baada ya maji kumwagika
 
Ukweli mchungu unaoumiza moyo wangu mkuu naomba altenative m dying with the acquired skills what should i do?
Mdogo wangu sidhani kama kuna option nyingine maana HESLB wanafata taratibu zao, ulipe 25% kwanza na si vinginevyo.
 
You have something to remind me let me take this cuz nimekua mlevi nimepoteza mwelekeo nilikua nasubiri dirisha la bodi ndo mawazo yangu thank you mkuu
basi kama umenisoma tuliza akili futa kabisa fikra za kichuochuo ww si mwanachuo tena ww ni msela wa kitaa karibu kitaa jichanganye na wadau watakupa michongo

kumbuka pia mtaa unaheshima zake! achana na tabia za kipuuzi puuzi kama. vile kubet na starehe zisizo endana na kipato chako
 
Kijana umefanya kosa kubwa sana aisee. Nipo nasikitika sana hapa. Why lakini? Alikuahidi nini huyo mtu? Aiseeee...
Ni mshkaji nilimeet nae chuo alikua blood friend mnoo hakuniahidi chochote ila plan zetu ni tugraduate tukaishangaze dunia na yeye lilibaki hilo somo tuu yan niliexpect interview moja tu ilitosha mimi kupata job nilihudhuria seminar zote chuo fanya field kwenye reputable organization like TRA nilizipata zote hizi bila kuwa na mtu bali uwezo wa kujenga hoja madhubuti lakini mwisho wa siku mungu wangu
 
Habari za muda huu wanajamvi poleni na ujenzi wa Taifa,
.
.
Rejea kichwa cha bhabari tajwa mimi nilipata changamoto niliyowahi kuileta hapa wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
.
.je naweza kuapply mkopo mwaka huu wa masomo naombeni ushauri nilikua mnufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu ninakiu ya kutimiza ndoto yangu ya kugraduate university, mwenye ushauri naomba anisaidie nipo kwenye wakati mgumu kama binadamu sina hata ndugu wa kunisupport kutimiza ndoto yangu.nawasilisha
Mkuu ingia kitaa piga mishe utaenda kupoteza ada ajira zenyewe hakuna.
 
Pole sana mkuu, na angalia usije ingizwa chakike kupitia shida zako, mungu akusaidie
 
Kijana umefanya kosa kubwa sana aisee. Nipo nasikitika sana hapa. Why lakini? Alikuahidi nini huyo mtu? Aiseeee...
Ni mshkaji nilimeet nae chuo alikua blood friend mnoo hakuniahidi chochote ila plan zetu ni tugraduate tukaishangaze dunia na yeye lilibaki hilo somo tuu yan niliexpect interview moja tu ilitosha mimi kupata job nilihudhuria seminar zote chuo fanya field kwenye reputable organization like TRA nilizipata zote hizi bila kuwa na mtu bali uwezo wa kujenga hoja madhubuti lakini mwisho wa siku mungu wangu
 
Ukweli mchungu unaoumiza moyo wangu mkuu naomba altenative m dying with the acquired skills what should i do?
Labda kama ukipata mtu umfanyie kazi akuamini then akuajiri af uanze hata evening class taratibu. Shida ni ngumu kupata mtu wa kukuamini faster.
 
Tatizo hatusomagi prospectus tukiwa tunaingia mwaka wa kwanza nilikuja kuisoma yote na ikakaa kichwani kwa muda wa wiki moja ili nikiitwa baraza la senate niwe na hoja za kujidefend ila haikusaidia baada ya maji kumwagika
Usingeweza salimika maana uli kamatwa red-handed.
Naamini Ilikuwa chuo cha GVT, kwa private hiyo Issue Ingekuwa solved or ungepewa chance ya kurudia mwaka hapo hapo bila disco.
 
Ni mshkaji nilimeet nae chuo alikua blood friend mnoo hakuniahidi chochote ila plan zetu ni tugraduate tukaishangaze dunia na yeye lilibaki hilo somo tuu yan niliexpect interview moja tu ilitosha mimi kupata job nilihudhuria seminar zote chuo fanya field kwenye reputable organization like TRA nilizipata zote hizi bila kuwa na mtu bali uwezo wa kujenga hoja madhubuti lakini mwisho wa siku mungu wangu
Daaaah! Usielezee zaidi mdogo wangu, Its so painful.
 
Ni mshkaji nilimeet nae chuo alikua blood friend mnoo hakuniahidi chochote ila plan zetu ni tugraduate tukaishangaze dunia na yeye lilibaki hilo somo tuu yan niliexpect interview moja tu ilitosha mimi kupata job nilihudhuria seminar zote chuo fanya field kwenye reputable organization like TRA nilizipata zote hizi bila kuwa na mtu bali uwezo wa kujenga hoja madhubuti lakini mwisho wa siku mungu wangu
Huyo Mungu ungemkumbuka kabla ya kufanya udanganyifu,asingekuacha ufanye hivyo.
Huruma nyingine za kijinga sana,tena ni dhambi kudanganya ,unamfanyia mtu mtihani!!!ni dhambi hiyo.
Msaada mzuri ni wa kumsaidia rafiki kabla ya chumba cha mtihani.
 
Huyo Mungu ungemkumbuka kabla ya kufanya udanganyifu,asingekuacha ufanye hivyo.
Huruma nyingine za kijinga sana,tena ni dhambi kudanganya ,unamfanyia mtu mtihani!!!ni dhambi hiyo.
Msaada mzuri ni wa kumsaidia rafiki kabla ya chumba cha mtihani.
Najutia sana tena sana lakini hua najipa moyo lakini ni uongo sijawahi fanya mistake maishani kama hii nataman nipate second chance lakini ndo siioni kila nikiwaza nalia machozi yanakauka nalewaaa zikiisha pombe narudi pale pale sijawahi kunywa kileo lakini sasa ni mtumiaji mzuri
 
Daaaah! Usielezee zaidi mdogo wangu, Its so painful.
Nataman niende sinza niwe marioo nimpate shuga mamy anilee nipate mtaji nikimbie cuz namuonekano fresh yan hua nawaza ujinga mwingi lakini namuanzaje huyu shuga mamy na nina hofu ya Mungu ndani yangu nawazaga ukimwi je?
 
Huyo Mungu ungemkumbuka kabla ya kufanya udanganyifu,asingekuacha ufanye hivyo.
Huruma nyingine za kijinga sana,tena ni dhambi kudanganya ,unamfanyia mtu mtihani!!!ni dhambi hiyo.
Msaada mzuri ni wa kumsaidia rafiki kabla ya chumba cha mtihani.
Ni kweli mkuu ninapita kwenye moto ambao wakati mwingine nataman kujiua lakini
Nikikumbuka ni dhambi napiga goti natubu
 
Back
Top Bottom