beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 864
- 1,182
- Thread starter
- #21
Sasa napata wapi mtaji mkuu hebu nisaidie nimeenda mpaka kwa moo kubeba viroba vya unga kazi ni connection mpaka aumwe yule wanaemfahamu ndo upate kazi nimetuma maombi kwa kuandika barua in a proffessional way lakin wapi naongea kiingereza kizuri lakin hakinipi chochote kosa langu lipo wapi nimeombewa kuanzia kwa gamanywa mpaka kwa mwamposa lakini wapia nionyeshe ninapokosea miezi sita hii imekua ya moto mnoo kwangu lakini nimemuona mungu akinipigania