Nilidisco chuo, naweza kuomba tena mkopo?

Nilidisco chuo, naweza kuomba tena mkopo?

beny jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2018
Posts
864
Reaction score
1,182
Habari za muda huu wanajamvi poleni na ujenzi wa Taifa,

Rejea kichwa cha habari tajwa mimi nilipata changamoto niliyowahi kuileta hapa wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza,

Je, naweza kuapply mkopo mwaka huu wa masomo naombeni ushauri nilikua mnufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu ninakiu ya kutimiza ndoto yangu ya kugraduate university, mwenye ushauri naomba anisaidie nipo kwenye wakati mgumu kama binadamu sina hata ndugu wa kunisupport kutimiza ndoto yangu

Nawasilisha
 
Umedisco bado unang'ang'ania nn?
Mkuu niliumia sana kitendo hiki hapa ni miezi sita sasa nipo mtaaani kila nikienda kuomba kazi naulizwa vyeti nina cheti cha form six kipo fresh ila ndo hawataki mkuu sasa nafanyaje?

Sina baba sina mama sina urithi wowote yan hua nawaza nipate mtaji lakini kila nikibet wapi nimekua mcheza kamali ili kutafta mtaji lakini nagonga mwamba hebu nisaidie hapa
 
Unaumia nn na Akili ya Darasani Huna?. Njoo Karume tuuze mitumba
Nipo tayari mkuu sema where to start na sina ndugu hapa dar naishi kwa wana tuu yan kila nikipata buku nibet nipate hata mtaji wa kununua belo la nguo niuze sipati kichwa kinauma ndo nikasubiri mda wa loan board wafungue nijaribu kuapply
 
Mkuu niliumia sana kitendo hiki hapa ni miezi sita sasa nipo mtaaani kila nikienda kuomba kazi naulizwa vyeti nina cheti cha form six kipo fresh ila ndo hawataki mkuu sasa nafanyaje? Sina baba sina mama sina urithi wowote yan hua nawaza nipate mtaji lakini kila nikibet wapi nimekua mcheza kamali ili kutafta mtaji lakini nagonga mwamba hebu nisaidie hapa
Ndio maana umedisco kwa kuwa huna akili

Nani alikwambia kubet ni jambo la maana?
 
Waja mna maneno ya kuudhi (japo Kuna kaukweli)
Hapana mkuu yan kuna vitu binadamu anapitia unaweza kusema labda ni mzembe ila ni kwakua hujapitia hiyo hali mimi mfano nina ideas kubwa sana kwa kichwa ambazo kama nikipata mtaji nabutua ila sina huo mtaji nahangaika kubet napata hela ya kuchangia kodi na mwana kila nikipata hata 20 unakuta ndio mda wa kununua umeme,kulipia maji,ulinzi shirikishi kulipia 2000 ila ukimueleza mtu anaweza kudhani ni uvivu wa kufikiri ila hapana
 
Ndio maana umedisco kwa kuwa huna akili

Nani alikwambia kubet ni jambo la maana?
Hii ni second option imenisaidia kwa kiasi mpaka sasa na ukiniuliza kuhusu hii michezo ntakwambia ni wizi mtupu unafanyika unaweza kubet laki ukala elfu ishirini kwa hyo ratio ya ushindi na loss ushindi ni kidogo sana
 
Hapana mkuu yan kuna vitu binadamu anapitia unaweza kusema labda ni mzembe ila ni kwakua hujapitia hiyo hali mimi mfano nina ideas kubwa sana kwa kichwa ambazo kama nikipata mtaji nabutua ila sina huo mtaji nahangaika kubet napata hela ya kuchangia kodi na mwana kila nikipata hata 20 unakuta ndio mda wa kununua umeme,kulipia maji,ulinzi shirikishi kulipia 2000 ila ukimueleza mtu anaweza kudhani ni uvivu wa kufikiri ila hapana
Ulikuwa unasoma degree ya nini kwanza kblsijakushauri?
 
Ulikuwa unasoma degree ya nini kwanza kbl sijakushauri?
B.A.in accounting preparation of Financual statement, balance sheet .correction of error incase of missing figure or incomplete record pia ni bingwa katika double taxation agreement kwa model zote za UN and OECD yaani kichwani kuna kitu hua natamani hata mtu aote aniajiri kama cheap labor anilipe hata laki kwenye kampuni yake nimpe management and administrative skills cuz sikuenda chuo kushiriki nilielewa nilichosoma
 
Laiti ningedisco kwa kufeli ningeamini kuwa kichwa kibovu ila kwakua huelewi ngoja nikuache
Mkuu nisamehe bure,
Hao wadau wamenichekesha japo si Mambo ya kucheka.

Nimesoma shule, naelewa ugumu wa shule, siwezi kukushangaa wewe kwa kudisco..ila mkopo bodi ya mikopo huwezi kupata tena unless umelipa kwanza asilimia fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana endelea kupambana.
Ushauri wako mkuu umekua na michango maridhawa sana hapa jukwaani kwa kipindi kifupi nilichokua humu ndani nipo serious na hii issue nimestuck mahali yan nilikua siijui pombe lakini saivi K vant nakunywa hata siskii ukali naona kama maji tuu
 
Mkuu nisamehe bure,
Hao wadau wamenichekesha japo si Mambo ya kucheka.

Nimesoma shule,naelewa ugumu wa shule, siwezi kukushangaa wewe kwa kudisco..ila mkopo bodi ya mikopo huwezi kupata tena unless umelipa kwanza asilimia fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said nilienda bodi walinambia hiki kitu sasa hela ya kulipa ni sina nikajua kuna mbinu nyingine nilikua nalipiwa %100 na ili nipate 25% ndo natakiwa nilipe hapa hata sh mia sina yan naumia sana tena sanaa kama unamiliki AK 47 niingie congo nimekata tamaa na maisha
 
Well said nilienda bodi walinambia hiki kitu sasa hela ya kulipa ni sina nikajua kuna mbinu nyingine nilikua nalipiwa %100 na ili nipate 25% ndo natakiwa nilipe hapa hata sh mia sina yan naumia sana tena sanaa kama unamiliki AK 47 niingie congo nimekata tamaa na maisha
Kukata tamaa hakutabadilisha chochote.
Cha muhimu ni kufanya juhudi katika kazi halali,,achana na ujinga wa kubet.

Jitahidi ukipata tena nafasi ya kusoma usiicheze,,,wengi wanaopata 100% kuna namna huwa wanajisahau, japo si wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom