Nilichomshauri DK WILBROAD SLAA nilipokutana nae

Nilichomshauri DK WILBROAD SLAA nilipokutana nae

Hivi chadema wana ofisi au jamii forums ndio ofisi yao?

We undertaker unaelewa hata muelekeo wa kimaisha duniani wewe, siku hizi watu wanafanyika shughuri majumbani kwao mtabakia nyie ambao ni lazima mwende kiwandani kupakia mizigo ndo mnaona umuhimu wa ofisi.
 
Mi nakuona kama mpuuzi tu, unajitekenya na kucheka mwenyewe, hilo daftari anaboresha Dr Slaa, hivi kwa akili yako ndogo unahisi ccm imeshinda uchaguzi, unafikilia kwa kutumia makalio au, pole sana, huu mziki huuwezi , tuachie wenyewe, mnafiki tu wewe, unajifanya unaongea point kumbe una lako jambo.
 
Well said brother.. tatizo viongozi wa CHADEMA hawapendi kukosolewa. ukiwakosoa tu,unaonekana mpinzani. Kumbe wakati mwingine mtu unakuwa na nia nzuri tu.

Na ukizidi kumkosoa utasikia watanzania wengine nao wanahamasishwa wakutenge, badilikeni viongozi nyie ni binaadamu na mnaweza kukosea hivyo kwa maslahi ya watanzania muwe tayari kukosolewa kama kweli mna nia ya dhati ya kumkomboa mwananchi zaidi ya hapo nanyi tutawaogopa
 
We undertaker unaelewa hata muelekeo wa kimaisha duniani wewe, siku hizi watu wanafanyika shughuri majumbani kwao mtabakia nyie ambao ni lazima mwende kiwandani kupakia mizigo ndo mnaona umuhimu wa ofisi.

Duh kumbe kazi wanazifanya wakiwa majumbani mwao, ndio maana.....
 
Mi nakuona kama mpuuzi tu, unajitekenya na kucheka mwenyewe, hilo daftari anaboresha Dr Slaa, hivi kwa akili yako ndogo unahisi ccm imeshinda uchaguzi, unafikilia kwa kutumia makalio au, pole sana, huu mziki huuwezi , tuachie wenyewe, mnafiki tu wewe, unajifanya unaongea point kumbe una lako jambo.

Siongei na mbwa.....
 
mkuu mimi kama raia wa tanzania sijafurahishwa na ulichokiandika hapa tuache unafiki na kuhubiri mambo ambayo hayako hapa unazungumzia ukabila, udini na ukanda ni wapi watu wanahubiri haya Bunge lililopita walifanya marekebisho kadhaa kwenye sheria mbalimbali ikiwemo penal code ili kudhibiti watu wanaozungumza haya maneno ulioandika hapa chini ikiwa wewe ni Mtanzania na unaipenda nchi yako katoe taarifa kwa mamlaka husika kwa watu wanaohubiri hii kitu ili wachukuliwe hatua.Si vizuri kutumia udhaifu wako ueneza chuki kwa jamii.Mungu akubariki na Tunaomba Mungu tubariki tuwe na Umoja na Kuishi Kwa Amani na Upendo. Mandela alisema haya meneno yatafakari vizuri No one is born hating another person because of the colour of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite." ~ Nelson Mandela from Long Walk to Freedom,
Cdm acheni ukabila udini ukanda udhaifu huo ndio unaowacost wenzenu wanautumia na wananchi wanapima na kuona ni kweli.watu sio wajinga wanaona kwa macho yao .acheni siasa za kishenzi za kumchafua zitto,uchafu utawarudia wenyewe
 
Daftari likiboreshwa wataingia kwenye daftari Chadema peke yao?

Au unamaanisha wana Chadema huwa hawapigi kura?
 
CCM hawawezi kamwe kupoteza mtaji wao pekee uliobakia yaani kutoboresha daftari la wapiga kura kwa muda huu. Wanajua fika endapo wataboresha daftari hili kwenye hayo majimbo mawili kuna hatari ya kuyapoteza.

Sasa sijui mtaji huu utawasaidia mpaka lini.
 
Daftari likiboreshwa wataingia kwenye daftari Chadema peke yao?

Au unamaanisha wana Chadema huwa hawapigi kura?

CHADEMA ina support kubwa sana kutoka kwa vijana kati ya miaka 18-26 ambalo ndilo kundi kubwa. Angalia idadi na umri wa watu wanaohudhuria mikutano ya CHADEMA. Asilimia kubwa ya vijana hao hawamo kwenye daftari la wapiga kura.
 
Hivi chadema wana ofisi au jamii forums ndio ofisi yao?

Chris%2BLukosi.JPG
 
CHADEMA ina support kubwa sana kutoka kwa vijana kati ya miaka 18-26 ambalo ndilo kundi kubwa. Angalia idadi na umri wa watu wanaohudhuria mikutano ya CHADEMA. Asilimia kubwa ya vijana hao hawamo kwenye daftari la wapiga kura.

hilo ni kundi lisilokuwa na msimamo,lisilojielewa, na ni rahisi kubadilika wakati wowote,usilitegemee sana, vijana wote si sawa na machalii wavuta bange wa arusha
 
tatizo padri slaa ni mbishi sana, hasikii wala haambiliki.
 
Mkuu endelea kumshauri babu madudu na utegemee pengine atakukubalia.
Akikubali imekula kwake anyway.

Swali la kujiuliza kwako, kama una akili ya kuchambua maswala, ni kwamba, kama CHADEMA wamekuwa popular na chopa kutengeneza inroads kwa uanachama watu waliokuwa CCM, Walioandikisha hiyo 2009 wako wapi?

Msijipe sababu ambazo na nyie wenyewe mnajua hazina mashiko.
Chances are hata daftari likiboreshwa kesho, wananchi wengi zaidi watachagua CCM, maana zaidi ya kulalama na polisi na maandamano, CDM haina mchango wowote kimawazo jinsi ya kuliendeleza ztaifa hili.

Msifikiri wTanzania ni wajinga, they know where their hearts lie.

Na kama ni wewe ulimshauri juu ya kukodi chopa tatu, matokeo yake mmeshayaona.

vipi ile list of shame ya mafisadi 11 pale mwembeyanga. haikusaidia kufichua watafuna nchi wa magamba?
 
TUANZE KUSAHIHISHA ULIPOMALIZIA , CHOPA HAZIKULETWA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA KATA , futa hilo ANDIKO LAKO , LA PILI NI KWAMBA ZAIDI YA VIJANA MIL 5 UNUSU WANASUBIRI KUANDIKISHWA , NA UKUMBUKE KUWA NI KIJANA M. W. E . HU PEKEE AU LABDA MTOTO WA KIONGOZI AMBAYE INAFAHAMIKA ANACHOPIGANIA , NDIYO ANAWEZA KUCHAGUA CCM .
Ni kweli. Tuanafahamu kuwa kwa daftari hili twaweza kabisa tusishinde Kalenga na Chalinze, kwa kuwa hatuelewi kuwa kwa nini turn out siku ya uchaguzi inakuwa ndogo kivile na tuna uhakika kuwa Wapenzi na wanachama wengi wa CDM wasmepatikana baada ya uchaguzi wa 2010 kwa Kampeni za Uraisi zilizoongozwa na Dr. Slaa. Hata hivyo ni budi kushiriki kampeni zile kwa nguvu zote kwa kuwa kufanya vile tunaongeza elimu ya uraia kwa wananchi wa maeneo husika, na kuongeza wanachama na wapenzi watakaotufaa baada ya daftari kuboreshwa. Tukumbuke kuwa mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa na hatupaswi kukubali uchaguzi huo ufanyike bila ya daftari kuboreshwa!
 
Back
Top Bottom