Therefore they are fighting the wrong battle!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
haswaaa!
Therefore they are fighting the wrong battle!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Dr Slaa, kwanza niseme hoja ya Ochutz ina maana sana kwa wakati huu. Kama mliongea au la hilo soi hoja, hoja iliyopo ni mantiki ya hoja yake.
Ninakumbuka Mzee Mwanakijiji aliandika kuhoji upigaji wa kura Mbeya vijijini ambao ulikuwa ni asilimia 30.
Mwemyekiti wa NEC aliulizwa na hakuwa na jibu kwanini watu wajiandikishe asilimia 70 halafu wapige kura asilimia 30.
Huko nyuma kulikuwa na ushahidi wa ununuzi wa shahada za kupiga kura ambao uliisha kimya kimya bila ninyi wapinzani kufutailia.
Hoja ya Otchuz ni kuwa inawezekana kabisa kampeni zenu ni effective lakini mnashindwa 'technically'.
Unakumbuka baada ya kuanza kulinda vituo wizi ulibadili sura ya matokeo kwa kiasi kikubwa.
Je, mumeangalia kwa undani nini kinaendelea na asilimia ndogo ya wapiga kura?
Sidhani kama Otchuz kuandika katika gazeti kungeweza kuwa na impact kuliko ninyi wapinzani rasmi kulizungumzia suala hilo, hivyo ni muhimu ukaiona hoja yake bila kumjua au kuwa na prejudice dhidi yake
Utakumbuka kuwa tuliwahi kuwa na mjadala na hapa tena namnukuu Mwanakijiji kwa kusema kuwa vyama viwe na madaftari ya wapiga kura wao sambamba na la wapiga kura la NEC.
Je, mnajua wanachama wenu wangapi wanakwenda kupiga kura?
Laiti mngekuwa na daftari pengine mngekuwa na ushahidi mzuri sana wa kutahmini wapi tatizo lilipo.Hivyo ndivyo wanavyofanya wenzenu katika vyama vingine huko duniani. Hakuna kosa la kisheria kuandikisha wanachama wako na kuwafahamu.
Ni muhimu ukakubali kuangalia hoja bila kutanguliza hoja za nani anajua nani hajui.
Ahsante
Duh, hii ni kali.Ochutz,
Kwa bahati mbaya huna ujasiri wa kuandika jina lako la kweli, hivyo siwezi kujua Kama kweli ulinipa ushauri au umetunga tu. Ebu jiulize katika akili ya kawaida, Mimi na wewe ( au Chadema) nani angelimshauri mwenzake, wake moja Kati ya lengo la OPeration Pamoja Daima ni kuishinikiza Serikali kuboresha Daftari Hilo. Hayo yamesemwa na Mbowe, Lisu na Slaa! Kati yako wewe na Slaa ni nani Hana uelewa au nani ampe ushauri mwenzake. Ni vema tusifanye ushabiki katika mambo mazito.
Kama kweli ukielewa na una nia njema, badala ya kutuma ujumbe kwa Slaa, ungeandika kwenye Gazeti ili uishinikize Serikali kwa kuwa kazi ya kuboresha daftari ni ya Serikali na NEC yake. Aidha ungelikuwa na ujasiri wa kupostiwa kwa ID yako ningelijua Kama tuliongea la, kwa sasa hoja yako haina maana yeyote,
Hivi chadema wana ofisi au jamii forums ndio ofisi yao?
sela za cdm ndo mbovu watu wamestuka. Sela za ubaguz na umimi haziwezi kunusuru chama. Wajipange kisela tu
Bahati mbaya umemshauri mr never told
Duh, hii ni kali.
Kwanza, kwa mtu anayefuatilia kwa karibu sauti ya kimaandishi ya Dr. Slaa hawezi kuamini kama hii sauti niya kwake mwenyewe.
Pili, Kama kweli aliyeandika ni Dr. Slaa basi ninadhani anahitaji time for political reflection nje ya siasa hata kwa mwezi mmoja ili apate muda wa kuzijongea fikra, hekima na busara katika kukabiliana na misukosuko ya kisiasa nchini. You seem to be angry for no reason!.
Sijaona kosa la mleta mada hata kidogo hasa ikichukuliwa kuwa ushauri wa kisiasa ni jukumu la wanachama wote wa chama kwa chama chao kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ambapo Dr. Slaa ndiye mtendaji Mkuu wa CHADEMA. Hoja hapa ni ushauri kwa faida ya chama na siyo jina la mleta ushauri hasa ikichukuliwa kuwa, mleta mada aliishatoa ushauri kupitia njia mbadala za chama kikatiba.
Kiongozi mzuri ni yule anayesikiliza kwa makini watu wake wanasema nini lakini siyo lazima ayafanyie kazi yale yote anayoambiwa na watu wake linapofikia swala la implementation.
Kwa mtaji huu, ninashawishika kusema mnajenga mazingira ambayo yatawafanya wanachama wenu wawaogope hata kuwanyoshea vidole kulingana na Katiba kama ilivyoainishwa katika taratibu, kanuni, itifaki na miongozo ya chama. Kama ushauri kwa chama tu unakumbana na majibu yenye mlengo huu, itakuwaje kama ikiwa ni personal criticism. Kufukuzwa uanachama!
Yangu macho na masikio.
Ochutz,
Kwa bahati mbaya huna ujasiri wa kuandika jina lako la kweli, hivyo siwezi kujua Kama kweli ulinipa ushauri au umetunga tu. Ebu jiulize katika akili ya kawaida, Mimi na wewe ( au Chadema) nani angelimshauri mwenzake, wake moja Kati ya lengo la OPeration Pamoja Daima ni kuishinikiza Serikali kuboresha Daftari Hilo. Hayo yamesemwa na Mbowe, Lisu na Slaa! Kati yako wewe na Slaa ni nani Hana uelewa au nani ampe ushauri mwenzake. Ni vema tusifanye ushabiki katika mambo mazito.
Kama kweli ukielewa na una nia njema, badala ya kutuma ujumbe kwa Slaa, ungeandika kwenye Gazeti ili uishinikize Serikali kwa kuwa kazi ya kuboresha daftari ni ya Serikali na NEC yake. Aidha ungelikuwa na ujasiri wa kupostiwa kwa ID yako ningelijua Kama tuliongea la, kwa sasa hoja yako haina maana yeyote,
Dr.W.Slaa
Inawezekana wewe unaulewa mkubwa kuzidi pro-Chadema wote lakini ujuaji wako na uelewa wako ndiyo umeipa Chadema viti vitatu vya udiwani.
Kama mnalalamika watu hawajitokezi kupiga kura hata hilo daftari likiboreshwa watu ndiyo watajitokeza.
Majibu yako yamejaa kibri na dharau.
Naomba utufahamishe hizo 'sela' mbovu za CDM ni zipi na ni kwa namna gani watu wamestuka?
Ochutz,
Kwa bahati mbaya huna ujasiri wa kuandika jina lako la kweli, hivyo siwezi kujua Kama kweli ulinipa ushauri au umetunga tu. Ebu jiulize katika akili ya kawaida, Mimi na wewe ( au Chadema) nani angelimshauri mwenzake, wake moja Kati ya lengo la OPeration Pamoja Daima ni kuishinikiza Serikali kuboresha Daftari Hilo. Hayo yamesemwa na Mbowe, Lisu na Slaa! Kati yako wewe na Slaa ni nani Hana uelewa au nani ampe ushauri mwenzake. Ni vema tusifanye ushabiki katika mambo mazito.
Kama kweli ukielewa na una nia njema, badala ya kutuma ujumbe kwa Slaa, ungeandika kwenye Gazeti ili uishinikize Serikali kwa kuwa kazi ya kuboresha daftari ni ya Serikali na NEC yake. Aidha ungelikuwa na ujasiri wa kupostiwa kwa ID yako ningelijua Kama tuliongea la, kwa sasa hoja yako haina maana yeyote,
Wakati mwingine huwa nakubaliana na logic yako mzee, pamoja na kwamba haiingozei CDM afya wala shibe!Ochutz,
Kwa bahati mbaya huna ujasiri wa kuandika jina lako la kweli, hivyo siwezi kujua Kama kweli ulinipa ushauri au umetunga tu. Ebu jiulize katika akili ya kawaida, Mimi na wewe ( au Chadema) nani angelimshauri mwenzake, wake moja Kati ya lengo la OPeration Pamoja Daima ni kuishinikiza Serikali kuboresha Daftari Hilo. Hayo yamesemwa na Mbowe, Lisu na Slaa! Kati yako wewe na Slaa ni nani Hana uelewa au nani ampe ushauri mwenzake. Ni vema tusifanye ushabiki katika mambo mazito.
Kama kweli ukielewa na una nia njema, badala ya kutuma ujumbe kwa Slaa, ungeandika kwenye Gazeti ili uishinikize Serikali kwa kuwa kazi ya kuboresha daftari ni ya Serikali na NEC yake. Aidha ungelikuwa na ujasiri wa kupostiwa kwa ID yako ningelijua Kama tuliongea la, kwa sasa hoja yako haina maana yeyote,
Mimi yamenishangaza sana mpaka nikaanza kuisikiliza sauti ya maandishi yake angalau nijihakikishe kama ni yeye aliyeandika hiyo comment.Well said brother...! inawezekana kweli kuna baadhi ya viongozi wakuu CHADEMA,hawapendi kabisa kushauriwa/kukosolewa. Majibu aliyotoa Dr Slaa yana reflect hilo.