Sijui Africa tumelogwa na nani we jaribu kupima hii inshu kaifanya mwanamke dhidi ya mme wake uone! Ukichunguza wachangiaji karibia wote wanasisitiza mtoa maada amsamehe mtuhumiwa ila ingekuwa ni mwanamke ndo katenda huu ***** alafu mwanaume kaleta hiyo maada ungesikia comments nzito nzito zikimtaka mwanaume kumtimua mwanamke.KI UKWELI WANAUME IFIKE POINT TUACHANE NA MAISHA YA KI GORILLA NA TUJARIBU KUWASAIDIA WAKE ZETU KWA KUWA WAAMINIFU ILI TUJENGE FAMILIA ZETU KIMAENDELEO PIA TUSITAKE KUTUMIA NDOA ZETU KAMA ULINGO WA KUWATESA WANAWAKE.TUMEKUWA TUKILALAMIKIWA KILA KONA KUWA SISI NI SOSI OF OL EVILS KWENYE FAMILIA.
all men cheat, kwa mtu unajihangaisha kukagua msg sijui kaenda wapi na nani......
umeona eeh yaani hapa mwanamke anaambiwa ajipambe,apendeze nyumba sijui iwe safi mda wote as hayo yote alikuwa hayafanyi kabla ya kuchetiwa, ni kazi kuolewa aisee ni kama unatakiwa kuishi kama katuni ili umfurahishe mme hata akikuuzi
Billie bora ma bro umeliona hili manake kule kwenye uzi wangu wa wanaume tupeni majibu wametuzodoa sana wakidai wanawake ndo wabaya ndo maana hawawez kuomba samahani tena wanadai wao ni wababa so samahani sio kabisa ila jiulize kweli ingekuwa ni mimi leo hii Kaizer kanifumania kisha kaleta huu uzi hapa ingekuwaje?Sijui Africa tumelogwa na nani we jaribu kupima hii inshu kaifanya mwanamke dhidi ya mme wake uone! Ukichunguza wachangiaji karibia wote wanasisitiza mtoa maada amsamehe mtuhumiwa ila ingekuwa ni mwanamke ndo katenda huu ***** alafu mwanaume kaleta hiyo maada ungesikia comments nzito nzito zikimtaka mwanaume kumtimua mwanamke.KI UKWELI WANAUME IFIKE POINT TUACHANE NA MAISHA YA KI GORILLA NA TUJARIBU KUWASAIDIA WAKE ZETU KWA KUWA WAAMINIFU ILI TUJENGE FAMILIA ZETU KIMAENDELEO PIA TUSITAKE KUTUMIA NDOA ZETU KAMA ULINGO WA KUWATESA WANAWAKE.TUMEKUWA TUKILALAMIKIWA KILA KONA KUWA SISI NI SOSI OF OL EVILS KWENYE FAMILIA.
marrykate haambiwi afanye hayo kwasababu alikuwa hayafanyi hapana, ila anaambiwa kwasababu panapo kosa kama hili mwanaum yyte dunian atatafuta weak point ya mkewe ili aweze kuitumia kama kigezo. kama umeolewa nafikiri utayajua haya niyasemayo.umeona eeh yaani hapa mwanamke anaambiwa ajipambe,apendeze nyumba sijui iwe safi mda wote as hayo yote alikuwa hayafanyi kabla ya kuchetiwa, ni kazi kuolewa aisee ni kama unatakiwa kuishi kama katuni ili umfurahishe mme hata akikuuzi
Nilichokitafuta nimekipata,hii imenitokea jana;
Mimi niliolewa miaka mitatu iliyopita,tuliishi kwa furaha na upendo mimi na mume wangu.Mwaka jana nilianza kuhisi mahusiano ya mume wangu na secretary wake si ya kawaida,niliamua kumuuliza mume wangu kwa utaratibu ila alikana na kunitoa wasiwasi kuwa hakuna kitu kama hicho.Tuliendelea ila nilikua bado naona movement zisizoeleweka za mume wangu na secretary wake.
Juzi usiku nikaamua kubadilisha(edit) no ya huyo secretary wake;nilichofanya nilizifuta nikaweka no.zangu kwenye jina lake na kwenye jina langu nikaweka no.za secretary.Jana asbh nikiwa ofisini nikapata msg ya kwanza kutoka kwa mume wangu akijua anamtext secretary na chat ziliendelea kama ifuatavyo;
Mume wangu:Gmorning darling leo nitachelewa kufika ofisini
Secretary (mimi):morng to u hny unapitia wapi?
Mume wangu:Napitia mjini kuna kikao nikiwahi nitakuja kukuchukua twende lunch then............
Secretary (mimi):Siku hizi umenitosa sana au mke wako kakubana?
Mume wangu:Aaaaah wapi yule hawezi kunibana mimi kwani hakufikii kabisa
Secretary(mimi):MMMH hanifikii kwa lipi?
Mume wangu: yeye si mtamu kama wewe,baby you are so sweet,cant wait to hold and .......you hardly.
Nilitetemeka jasho likanitoka nikaomba ruhusa ofisini nikarudi nyumbani,jioni anafika nikamuonyesha zile msg zake hakuongea chochote na mpaka sasa hajibu chochote wala haongei na mimi.
Wanajamii mmekua wa kwanza kuelezewa huu mkasa na sitarajii kumueleza mtu mwingine yeyote.
Nawaomba ushauri nifanyeje???
Sijui Africa tumelogwa na nani we jaribu kupima hii inshu kaifanya mwanamke dhidi ya mme wake uone! Ukichunguza wachangiaji karibia wote wanasisitiza mtoa maada amsamehe mtuhumiwa ila ingekuwa ni mwanamke ndo katenda huu ***** alafu mwanaume kaleta hiyo maada ungesikia comments nzito nzito zikimtaka mwanaume kumtimua mwanamke.KI UKWELI WANAUME IFIKE POINT TUACHANE NA MAISHA YA KI GORILLA NA TUJARIBU KUWASAIDIA WAKE ZETU KWA KUWA WAAMINIFU ILI TUJENGE FAMILIA ZETU KIMAENDELEO PIA TUSITAKE KUTUMIA NDOA ZETU KAMA ULINGO WA KUWATESA WANAWAKE.TUMEKUWA TUKILALAMIKIWA KILA KONA KUWA SISI NI SOSI OF OL EVILS KWENYE FAMILIA.
Sijui Africa tumelogwa na nani we jaribu kupima hii inshu kaifanya mwanamke dhidi ya mme wake uone! Ukichunguza wachangiaji karibia wote wanasisitiza mtoa maada amsamehe mtuhumiwa ila ingekuwa ni mwanamke ndo katenda huu ***** alafu mwanaume kaleta hiyo maada ungesikia comments nzito nzito zikimtaka mwanaume kumtimua mwanamke.KI UKWELI WANAUME IFIKE POINT TUACHANE NA MAISHA YA KI GORILLA NA TUJARIBU KUWASAIDIA WAKE ZETU KWA KUWA WAAMINIFU ILI TUJENGE FAMILIA ZETU KIMAENDELEO PIA TUSITAKE KUTUMIA NDOA ZETU KAMA ULINGO WA KUWATESA WANAWAKE.TUMEKUWA TUKILALAMIKIWA KILA KONA KUWA SISI NI SOSI OF OL EVILS KWENYE FAMILIA.
Nilichokitafuta nimekipata,hii imenitokea jana;
Mimi niliolewa miaka mitatu iliyopita,tuliishi kwa furaha na upendo mimi na mume wangu.Mwaka jana nilianza kuhisi mahusiano ya mume wangu na secretary wake si ya kawaida,niliamua kumuuliza mume wangu kwa utaratibu ila alikana na kunitoa wasiwasi kuwa hakuna kitu kama hicho.Tuliendelea ila nilikua bado naona movement zisizoeleweka za mume wangu na secretary wake.
Juzi usiku nikaamua kubadilisha(edit) no ya huyo secretary wake;nilichofanya nilizifuta nikaweka no.zangu kwenye jina lake na kwenye jina langu nikaweka no.za secretary.Jana asbh nikiwa ofisini nikapata msg ya kwanza kutoka kwa mume wangu akijua anamtext secretary na chat ziliendelea kama ifuatavyo;
Mume wangu:Gmorning darling leo nitachelewa kufika ofisini
Secretary (mimi):morng to u hny unapitia wapi?
Mume wangu:Napitia mjini kuna kikao nikiwahi nitakuja kukuchukua twende lunch then............
Secretary (mimi):Siku hizi umenitosa sana au mke wako kakubana?
Mume wangu:Aaaaah wapi yule hawezi kunibana mimi kwani hakufikii kabisa
Secretary(mimi):MMMH hanifikii kwa lipi?
Mume wangu: yeye si mtamu kama wewe,baby you are so sweet,cant wait to hold and .......you hardly.
Nilitetemeka jasho likanitoka nikaomba ruhusa ofisini nikarudi nyumbani,jioni anafika nikamuonyesha zile msg zake hakuongea chochote na mpaka sasa hajibu chochote wala haongei na mimi.
Wanajamii mmekua wa kwanza kuelezewa huu mkasa na sitarajii kumueleza mtu mwingine yeyote.
Nawaomba ushauri nifanyeje???