Hahaaa... Umepanic?,. Uwe unatumia akili kabla ya kupost kitu jukwaa la siasa.Unaleta story za udikteta humu unamaanisha nini?,narudia mara nyingine WEWE NI MPUMBAVU.FULL STOP.
Najua una hasira sana mimi kwa sababu simuungi mkono Dikteta uchwara aliyeiuza nchi Rwanda kwa Kagame na alivyo punguani anatekwa akili na kushawishiwa kupewa ulinzi na Kagame.
Kweli ilikuwa ni lazima Ben Saanane atekwe na kupotezwa,alichokosea marehemu Ben Saanane ni Ku expose ID yake wakati wa kumwanika huyu mshamba wa Chato,hata mimi nikijaribu Ku expose ID yangu hapa,within 48 hours I will go missing forever.
Una hasira cause you can't catch me,na wewe ni mmoja wa wale mabwege wasiojulikana,sasa na siye tutakuwa tunawaanika bila kujulikana.
Mlidhani kwa kumuua Ben Saanane ndo huyo mshamba wa chato ataachwa kusemwa?
Mlipomuua Ben Saanane,siku hiyo hiyo walizaliwa Ben Saanane 1,000 nikiwemo mimi,kwa hiyo ni bora mngemwacha hai tu,siye tungekuwa kimya....
Hasira zako juu yangu zinanipa morali zaidi ya kuandika kuhusu ujuha wenu,kuniita mpumbavu na kuni attack unadhani nitaogopa niache kuandika,pole sana wewe muuaji.
After lunch time nakuja na topic kuelezea jinsi Kagame anavyompelekesha Magufuli na anavyolala ikulu ya magogoni (yaani he knows everything about our country).
Sasa andaa tani ya matusi kwenye hiyo thread,but you'll never stop the message from being sent,kama roho inakuuma sana kwa sababu hamuwezi kunipata basi jiue mjinga wewe.