Pale nyomi ikishajaa wanaweza kumuua na usiwe na maamuzi yoyote aisee
Huyo mtoto sio wa huyo kijana.Daaah yaani wanawake sijui wana shida gani jamani yaani mtoto wa mwez mmoja kweli mtu unachepuka unajua kuna vitu vinatia hasira sana kwakwel
Yaani bora kuto kuoa tu....
Jamaa alidhihirish yeye mwenyweHivi siku ya4 baada ya kujifungua hakuwi kumetanuka jaman daah kuna hata ile la ladha kwa wale wajuvi wa mambo