Nilichokiona jana usiku

Nilichokiona jana usiku

Baada ya kupata maelezo yote hayo ya kijana mwenzako, uamuzi wako wa busara ungekuwa ni kwenda kumchomoa huyo mbilikimo wenu hata km yupo uvunguni na kuhakikisha kijana mwenzako anaondoa dukuduku lake.
Lakini kosa lako ni kusikitika huku muharifu unamjua na umemficha, subiri siku moja nawe ufichiwe muovu wako
Safi kijana umefanya jambo sahihi mzee angefaliki tu
 
Duh, amakweli dunia haina huruma, me naona tamaa ndo inatesa kizazi cha siku izi maana hayo mambo hatukuwa nayo, asa ukijalibu kuangalia huyo mke amekosa nn kwa mume wake mpk anaamua kufanya mambo ya kishetani kama hayo, wakati mwingine tumwogope mungu jaman, hata ujifiche vip mungu anakuona to
 
Duh, amakweli dunia haina huruma, me naona tamaa ndo inatesa kizazi cha siku izi maana hayo mambo hatukuwa nayo, asa ukijalibu kuangalia huyo mke amekosa nn kwa mume wake mpk anaamua kufanya mambo ya kishetani kama hayo, wakati mwingine tumwogope mungu jaman, hata ujifiche vip mungu anakuona to
Yaani lile tukio la jana limenifikirisha sana
 
Mtoto wa mwezi mmoja, halafu ***** anabanduliwa na vizee😅😅 afya ya huyo mtoto Mungu tu ndo anajua
Atakuwa fundi viatu, ndo mana watoto wa siku hizi akili kama........zao
 
Wanachosha mnoo.. Mi nimewaletea tukio lilitokea jana ili wote tujifunze kitu lakini wanabisha
Tatizo watu wameshakariri kila kitu chai, chai, m nimeshawaambia wawe makini watakunywa na mikojo siku moja.
BTW huyo andunje ungelijua ungemwacha wananchi wa hasira kali wakamshughulikia maana kuna wengine wanatumia pesa zao kama fimbo za kuumiza wanyonge.
 
Kosa la kutembea na mwanamke kabla ya ndoa halafu isitoshe kazaa ndio anafunga ndoa
Huyo mtoto utajuaje ni huyo kijana au mzee
Kama una rafiki wa miaka mingi halafu ndio unaamua kumuoa ujue baraka zote za ndoa yako umezitafuna.
Na ujue hauko nae peke yako wala asikudanganye
 
Hii kawaida tu kuna jamaa alimfuatilia mdada mmoja akamtolea nje akaja kumkubalia akiwa na ck tatu tangu ajifungue jamaa akamla siku ya NNE akiwa amejifungua hawa viumbe acha tu
Wanachosha mnoo.. Mi nimewaletea tukio lilitokea jana ili wote tujifunze kitu lakini wanabisha
 
Hii kawaida tu kuna jamaa alimfuatilia mdada mmoja akamtolea nje akaja kumkubalia akiwa na ck tatu tangu ajifungue jamaa akamla siku ya NNE akiwa amejifungua hawa viumbe acha tu
Duuu hii kali aisee
 
Kosa la kutembea na mwanamke kabla ya ndoa halafu isitoshe kazaa ndio anafunga ndoa
Huyo mtoto utajuaje ni huyo kijana au mzee
Kama una rafiki wa miaka mingi halafu ndio unaamua kumuoa ujue baraka zote za ndoa yako umezitafuna.
Na ujue hauko nae peke yako wala asikudanganye
Umeongea logic sana
 
Baada ya kupata maelezo yote hayo ya kijana mwenzako, uamuzi wako wa busara ungekuwa ni kwenda kumchomoa huyo mbilikimo wenu hata km yupo uvunguni na kuhakikisha kijana mwenzako anaondoa dukuduku lake.
Lakini kosa lako ni kusikitika huku muharifu unamjua na umemficha, subiri siku moja nawe ufichiwe muovu wako
Shida alikuta ni mfanyakazi mwenzie ndo tabu ilianzia hapo
 
Daaah yaani wanawake sijui wana shida gani jamani yaani mtoto wa mwez mmoja kweli mtu unachepuka unajua kuna vitu vinatia hasira sana kwakwel

Yaani bora kuto kuoa tu....
Muulize kwa nn unachepuka
 
Hiyo stori kama kweli basi mwanamke huyo hafai kabisa na ni malaya asiyekuwa na huruma
Habari za asubuhi wajenzi wa taifa.. Ninayo matumaini ni wazima wa afya njema huku mkiendelea na majukumu yenu ya kila siku..
Back to the point..
Jana usiku mida kama ya saa 6:30 hivi nilikuwa na wafanyakazi wenzangu watatu tukisubiri mzigo fulani kutoka makao makuu so ilibidi tukae mpaka muda huo ofisini.. Mara ghafla tukasikia mtu anapiga yowe maeneo ya jirani na ofisini ikabidi tutoke angalau tukatoe msaada kwa mtanzania mwenzetu..
Ile kutoka tu tukakutana na mtu mfupi mweusi tii alafu ana bonge la kitambi kavaa boksa tu huku akiwa peku peku anakimbilia upande wetu..
Kwakuwa hatukujua nani anaepiga yowe alitupita huku tukihisi yeye ndo anae hitaji msaada ndipo sekunde chache tukagundua kumbe yeye ndo muovu na ndio anaepigiwa lile yowe..
Kwakuwa alikuwa bado hajafika mbali ikabidi nimshone kumkimbiza..
Yaani hakupiga hata hatua ishirini nikamdaka aiseee sikuamini kumbe ni mfanyakazi mwenzetu tena ni mzee wa miaka kama sitini hivi yaani anahema kama chura..
Akanambia Dracula niachie nimefumaniwa na mke wa mtu nitauwawa ikabidi nimwache asepe..
Ule umati ulipofika pale nikawaambia kwamba jamaa kanizidi mbio kakimbia na kupotelea gizani hapo ndipo nikapata fursa ya kumsikia mume wa yule mwanamke aliekuwa anazini na mzee wetu..
Kwanza mwanamke ana mtoto mchanga wa mwezi mmoja.
Pili amefunga ndoa wiki iliyopita tu walifunga ndoa siku ya jumapili ya pasaka.
Pia jamaa akasema alikuta mtoto wake analia mpaka sauti imekauka kawekwa kwenye sofa huku mkewe akichumishwa mboga kitandani, anadai hayo yote aliyaona kupitia dirishani..
Nilipatwa na hasira maana huyu mume wa huyu mwanamke ni kijana anae hangaika sana kuhakikisha anai hudumia vizuri familia yake alafu anakuja mzee kumto*ea mke wake..
Hivi ina maana huyu mzee hajui uchungu wa mke kweli? Tena mke mwenye mtoto mchanga aisee..
Nawakilisha wakuu ila ningependa mjifunze kitu hapa
 
Tupe mrejesho nini kiliendelea baada ya fumanizi,
Ila kwa mtindo huu kuna kuoa kweli?
 
Back
Top Bottom