shabantingisha
New Member
- Apr 26, 2019
- 4
- 0
Safi kijana umefanya jambo sahihi mzee angefaliki tuBaada ya kupata maelezo yote hayo ya kijana mwenzako, uamuzi wako wa busara ungekuwa ni kwenda kumchomoa huyo mbilikimo wenu hata km yupo uvunguni na kuhakikisha kijana mwenzako anaondoa dukuduku lake.
Lakini kosa lako ni kusikitika huku muharifu unamjua na umemficha, subiri siku moja nawe ufichiwe muovu wako
