Mtu anapozungumza chama chetu unatambuaje kama "niukabila"?.CCM,CDM,Chauma si mali yawanachama?,mwanachama akizungumza hiki nichama chetu tatizo linatoka wapi?.1. Kila chama kina base lakini hakihubiri the so called " Chama Chetu" meaning ni cha watu wa ile base. Hili nililishuhudia kwenye mijadala muda wa mapumziko.
2. Huu ulikuwa ni mkutano wa ndani, hakukuwa na sababu ya kuchelewa, wajumbe wanafika wanakuta ukumbi ndio kwanza unaandaliwa.
3. Hiyo clip ya huyo dada sina hapa, but ninachoongea ni kweli kama mjumbe alikuwepo jana atathibitisha hili. Alikuwa dada mmoja mweusi kajaaliwa kidogo.
Mkuu endelea kutoa povu but ukweli ndio huoMtu anapozungumza chama chetu unatambuaje kama "niukabila"?.CCM,CDM,Chauma si mali yawanachama?,mwanachama akizungumza hiki nichama chetu tatizo linatoka wapi?.
2.Unataka kutanabaisha wajumbe walio wengi walifika muda husika?.Au wengi wao walichelewa.
3.Kama clip huna tutaamini vipi maneno yako,na nikitafuta mtu aliekuwepo akadai ayo maneno hayakusemwa utawaambia moderator wafute uzi wako?.
Ni sawa na chadema bila dj mbowe hakuna chadema bila huyo mkwepa kodi ndo sawa na act bila zito
Ukijibu masuali haya utapata majibu.
Hakuna chama ambacho hakina base?.
Ulijuaje kama wanachama wengi waliohudhuria Jana ni wakigoma?.
Umejuaje wanaotoka mikoa mingine kama niwashkaji zake Zitto?.
Huyo alive muatack mama Anna alimuatack wapi?,unaweza kutuwekea vidio tuone hayo maneno?.
By the way Chadema,Nccr,Cuf,Chauma na CCM wanachama wake wengi wanotka wapi?.Bila shaka utakuwa unafahamu kwa kuwa wanachama wa ACT umefahamu wanapotokea(wengi).
Chama kipi ambacho huwa kinaanza mkutano muda kilio utangaza utaanza?.
Hata Chadema miaka 1995 mpka 2005 base yake kuu ilikuwa kigoma na mbunge wake wa kwanza alitokea kigoma fuatilia hilo utajua then uje tuongee sio kuropoka kama mvuta bangi... Chadema hamna mjenga hoja waliopo ni waropokaji na sasa chama kimekuwa cha wachagaYaani walikuwa na poor planning sana, yaani jana wamenadi sera na itikadi yao ambayo ni nzuri kwa kweli lakini hawakuwa hata na kadi za chama pale kwa ambao wangeshawishika kukiunga nao. Walikuwa busy kuuza t-shirts zao.
endeleeni kugawana vyama kikanda au kikabila mkidhani ndo njia ya kuitoa ccm!! ccm ina coverage kwenye kila kabila huo ndo utakua mwanya wa ccm kusalia madarakaniMkuu uko sawa kabsa, act ni chama cha watu wa kigoma, hilo halina ubishi 100% na wakat mwingne namuoneaga huruma sana huyo mama Anna, kingne zito ana mvuto zaid kigoma