Nilichokiona jana mkutano wa ACT-Wazalendo

Nilichokiona jana mkutano wa ACT-Wazalendo

Mchumi90

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,157
Reaction score
1,447
Za asubuhi wakuu.
Jana nilihudhuria mkutano wa demokrasia wa chama hiki cha Act Wazalendo na lengo langu lilikuwa kujifunza na kuona jinsi watu wanavyoichambua demokrasia yetu.
Yafuatayo ndio niliyoyaona.
1. Act Wazalendo bado ni chama kichanga sana, hata kwenye mipango yao tu wanaonekana. Walipanga wataanza saa nne but walijikuta wakiwakalisha watu hadi saa sita. Poor planning and organisation ndio maana walishindwa kwenda na ratiba na ili kuokoa jahazi ilibidi Zitto awe Mc but it was too late.
2. Bila Zitto hakuna chama. Mtanisamehe amabao nitawagusa but huo ndio ukweli. Nyimbo zote za chama zinamsifu yeye tu. Hawafanyi kitu bila kumconsult yeye, hii inamana hawajiamini katika maamuzi nje ya Zitto. Nilikaa nikawaza sana siku Zito akiwa nje ya Act itakuaje? Jibu ni rahisi, chama kitakufa.
3. Chama ni mali ya Wanakigoma. Mwanzo nilikuwa nabishana na hii hoja lakini jana nilijionea mwenyewe. Asilimia 70% ya washiriki walitokea Kigoma. Yaani mikoa mingine waliopo Act ni washkaji wa Zitto. Please futeni hii picha sio nzuri kwa maendeleo ya chama.
4. Mama Anna Mgwira ni symbolic leader. Hapa nna maana huyu mama kawekwa kama geresha tu. Hana nguvu yoyote ndani ya chama. Hakuwa na furaha kabisa. But ni mzuri sana kwenye speech delivery. Kuna mwanachama alimuatack direct kwamba aache kuropoka jinsi alivyoteuliwa kugombea uraisi. Kumbe walitumia dakika 30 tu kumteua? Swali ni je angeshinda ingekuaje, maana anadai alikuwa anajiandaa kwa ubunge na alishtukizwa tu. Hapa ile hoja ya kwamba walikuja kupunguza kura za ukawa zinaweza pata mashiko.

Ngoja niwahi ibada nikirudi nitaendelea.

Mwanademokrasia.
 
Mi nadhani haukwenda kusikiliza mkutano wa demokrasia ila kuangalia chama kinaendeshwaje?? Unashangaa mkutano kuchelewa?? mkutano gani wa kisiasa uliowahi kuanza exactly kwa time iliyopangwa?? Kila chama kina symbolic leaders na kina iconic leader kwa ACT ni ZItto ndio ICON na kwa Chadema ni Mbowe as well as kwa NCCR ni Mbatia.
Kila chama kina sehemu ambayo ni base na hilo huja automatically..... kama chama kimeshinda kwa 70% KIGOMA Mjini ni wazi kinakubalika zaidi huko na ni wazi wanachama hai wengi watatokea huko. Ila nikuombe unitajie wangapi wenye ngazi za juu uliowaona kwenye mkutano huo ni wa Kigoma ukilinganisha na wa Mikoa Mingine??
Ukisoma Katiba ya ACT utaelewa mama ANNA ni nani ndani ya Chama na itakuwa rahisi sana kumtofautisha na Zitto.

Nikuombe utakaporudi uje na content zilizojadiliwa ili tuone kama zinasaidia ama la!!
 
Mi nadhani haukwenda kusikiliza mkutano wa demokrasia ila kuangalia chama kinaendeshwaje?? Unashangaa mkutano kuchelewa?? mkutano gani wa kisiasa uliowahi kuanza exactly kwa time iliyopangwa?? Kila chama kina symbolic leaders na kina iconic leader kwa ACT ni ZItto ndio ICON na kwa Chadema ni Mbowe as well as kwa NCCR ni Mbatia.
Kila chama kina sehemu ambayo ni base na hilo huja automatically..... kama chama kimeshinda kwa 70% KIGOMA Mjini ni wazi kinakubalika zaidi huko na ni wazi wanachama hai wengi watatokea huko. Ila nikuombe unitajie wangapi wenye ngazi za juu uliowaona kwenye mkutano huo ni wa Kigoma ukilinganisha na wa Mikoa Mingine??
Ukisoma Katiba ya ACT utaelewa mama ANNA ni nani ndani ya Chama na itakuwa rahisi sana kumtofautisha na Zitto.

Nikuombe utakaporudi uje na content zilizojadiliwa ili tuone kama zinasaidia ama la!!
Top leaders Zitto ndio mwanaKigoma, but hujaelewa, nimesema waliokuwa wajumbe wengi ni kigoma. Tena walibebwa wengine kutoka Kigoma ili mkutano usipwae. Then mimi nilienda kama mwanademokrasia tu na wala si kwa ubaya but niliyoyaona ndio hayo nimeshare na hata walichoplan kilifail kabisa.

[HASHTAG]#rudi[/HASHTAG] kwenye thread ya jana ya mkutano huo,nilikuwa watu wa mwazo kabisa kuwashawishi wapenda demokrasia waje hadi nikaishiwa kuitwa msaliti. But uozo niliouona lazima niseme.
 
Tatizo LA watanzania sisi kwa vyama vya upinzani ni moja " kuona kwamba vyama ni vya kikabila au kikanda" ili hali chama kinawafuasi nchi zima.
Kila chama lazima kiwe na base yaani eneo ambalo kinakubalika sana.Kwa mfano wale wafuasi damu damu mikoa ya kusini je,in wapemba?
tuache kupotosha
 
Top leaders Zitto ndio mwanaKigoma, but hujaelewa, nimesema waliokuwa wajumbe wengi ni kigoma. Tena walibebwa wengine kutoka Kigoma ili mkutano usipwae. Then mimi nilienda kama mwanademokrasia tu na wala si kwa ubaya but niliyoyaona ndio hayo nimeshare na hata walichoplan kilifail kabisa.

[HASHTAG]#rudi[/HASHTAG] kwenye thread ya jana ya mkutano huo,nilikuwa watu wa mwazo kabisa kuwashawishi wapenda demokrasia waje hadi nikaishiwa kuitwa msaliti. But uozo niliouona lazima niseme.
Ukijibu masuali haya utapata majibu.

Hakuna chama ambacho hakina base?.

Ulijuaje kama wanachama wengi waliohudhuria Jana ni wakigoma?.

Umejuaje wanaotoka mikoa mingine kama niwashkaji zake Zitto?.

Huyo alive muatack mama Anna alimuatack wapi?,unaweza kutuwekea vidio tuone hayo maneno?.

By the way Chadema,Nccr,Cuf,Chauma na CCM wanachama wake wengi wanotka wapi?.Bila shaka utakuwa unafahamu kwa kuwa wanachama wa ACT umefahamu wanapotokea(wengi).

Chama kipi ambacho huwa kinaanza mkutano muda kilio utangaza utaanza?.
 
Mi nadhani haukwenda kusikiliza mkutano wa demokrasia ila kuangalia chama kinaendeshwaje?? Unashangaa mkutano kuchelewa?? mkutano gani wa kisiasa uliowahi kuanza exactly kwa time iliyopangwa?? Kila chama kina symbolic leaders na kina iconic leader kwa ACT ni ZItto ndio ICON na kwa Chadema ni Mbowe as well as kwa NCCR ni Mbatia.
Kila chama kina sehemu ambayo ni base na hilo huja automatically..... kama chama kimeshinda kwa 70% KIGOMA Mjini ni wazi kinakubalika zaidi huko na ni wazi wanachama hai wengi watatokea huko. Ila nikuombe unitajie wangapi wenye ngazi za juu uliowaona kwenye mkutano huo ni wa Kigoma ukilinganisha na wa Mikoa Mingine??
Ukisoma Katiba ya ACT utaelewa mama ANNA ni nani ndani ya Chama na itakuwa rahisi sana kumtofautisha na Zitto.

Nikuombe utakaporudi uje na content zilizojadiliwa ili tuone kama zinasaidia ama la!!

Hapo kwenye symbolic na iconic ya chama, kwa chadema ipo mbali sana. Mkutano ukiitishwa hata kama hayupo Mbowe ila akawepo hata kama ni Wenje au Sugu au Msigwa au Halima mdee au Prof. J. Utashuhudia mwitikio mkubwa wa watu.
 
Ukijibu masuali haya utapata majibu.

Hakuna chama ambacho hakina base?.

Ulijuaje kama wanachama wengi waliohudhuria Jana ni wakigoma?.

Umejuaje wanaotoka mikoa mingine kama niwashkaji zake Zitto?.

Huyo alive muatack mama Anna alimuatack wapi?,unaweza kutuwekea vidio tuone hayo maneno?.

By the way Chadema,Nccr,Cuf,Chauma na CCM wanachama wake wengi wanotka wapi?.Bila shaka utakuwa unafahamu kwa kuwa wanachama wa ACT umefahamu wanapotokea(wengi).

Chama kipi ambacho huwa kinaanza mkutano muda kilio utangaza utaanza?.
1. Kila chama kina base lakini hakihubiri the so called " Chama Chetu" meaning ni cha watu wa ile base. Hili nililishuhudia kwenye mijadala muda wa mapumziko.
2. Huu ulikuwa ni mkutano wa ndani, hakukuwa na sababu ya kuchelewa, wajumbe wanafika wanakuta ukumbi ndio kwanza unaandaliwa.
3. Hiyo clip ya huyo dada sina hapa, but ninachoongea ni kweli kama mjumbe alikuwepo jana atathibitisha hili. Alikuwa dada mmoja mweusi kajaaliwa kidogo.
 
Dah we mbinafsi sana waambie tu watu madini uloyapata. Nilikuwepo pia na ilikua safi sana
 
Back
Top Bottom